mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,631
- 8,416
Acha ubaguzi.
kama ubaguzi kaanzisha Mungu ndio sababu hata nyani wa Tz tofauti na nyani wa China!
Acha ubaguzi.
Kuna mchina mmoja kapigwa roba kule kurasini na kufa .
alikuwa mbishi kusaula nini? huenda aliwatishia na kun fu zake ndo vijana wakachomoa nondo.
Mkuu ritz naona hata wewe unatumia losheni ya mchina manaa hilo liuso lako linatisha!Watanzania bana eti leo wanawaponda wachina wakati 99% ya watanzania wanatumia bidhaa za china.
Mpaka visimu ambavyo wanavyotumia humu JF ni vya China
Angekuwa Pro-CDM kapigwa Nondo ungeleta kejeli kama hizi?
CDM inaingiaje hapa mkuu, mawazo yako mufilisi wewe...
Sheria zinazemaje juu ya wageni kuandamana?
Lazima una uhusiano na mtilkilaBado Wakenya, Waganda na Wageni waliopo, Piga Roba wote pumbafu zao kwani makwao hakuna sehemu zakufanyia biashara zaidi ya Tanzania? Kwanza Immigration wapo wapi inabidi waulizwe kama wanavibali halali vya kuishi kabla ya kuandamana sio kukaa maofisini na kupekea Rushwa kama Yule mjinga wa Magogoni
asse
Lazima una uhusiano na mtilkila
ni kweli kabisa kwao wakiandamana wananyongwa
inawezekana walishatusoma tulivyo mabwege