Wacheni udini mtaibomoa bongo

Haya ndiyo matatizo ya watu kama nyinyi msiojua maana ya FREEDOM. Baada ya kuwa na point, unaanza kutukana. Haya ndiyo matatizo ya kuwa na WTZ EXTREMISTS kama nyinyi.

Hapa Abdulhakim amekuwaje extremist? Yeye anaepinga kuingiza dini kila mahali? Huyu anayetetea haki ya mtu asiye muislamu kumkosoa muislamu? Nyinyi mnaopinga ndio mnaojua maana ya FREEDOM? Iko kazi, akutukanae kweli hakuchagulii tusi. Kwenye hili Abdulhakim ndiye voice of reason na anastahili kupongezwa kwa msimamo wake.

Amandla......
 
Houseboy,unatakiwa ufikirie kwa kina kwanza before presenting your thread to the audience not only kufikiria but also uwe na strong proof za kui defend point yako...Unajua nini mkubwa hii forum inatazamwa na watu wengi,sasa ndugu ukisema udini utaibomoa nchi kwa sasa naona uko wrong..sidhani kama Tanzania kuna udini kiasi cha kusema nchi itabomoka,na tukisema tuangalie Raisi anatoka dini gani hatutafika popote zaidi tutajiwekea matabaka sisi wenyewe...
Waraka unatolewa ili kumtafuta Raisi mwenye misingi ya Dini,unaweza kuukubali au la!
Sababu zipo nyingi zinazoweza kuibomoa nchi au tuseme ambazo zinaiharibu na zinaendelea kuiharibu nchi...(nadhani most of them unazifahamu)
Lakini unapoongelea swala la Dini i think unakosea!!!
 
Huyu jamaa anajuta kutoa hii thread. Unajua sijui lini tutaacha kuchanganya dini na siasa. Nyerere aliona mbali aliposema ukabila na udini ni vitu vinavyoweza kuleta maafa sehemu yoyoute ile.

Huyu mwenzetu sijajua ni dini gani kwanza? na kwanini ana inferiority complex. Mambo hayaenda kutokana na mtu mwenyewe siyo dini yake. Kikwete kafulia katika nyanja zote, theme yake ya kibwege kasi na ujinga mwingine imekufa ghafla.

Nyerere alikuwa dictator ila aliona mbali, alisema Kikwete hafai kuwa Rais, mpaka anaingia kaburini, leo hii baada ya kuchemsha ndiyo tunaona. We need to have time to think before we go deep in something.
 
Nadhani suala la msingi hapa ni kupima utendaji wa kiongozi husika kwa kiwango tulichomwekea/alichoahidi wakati akiingia madarakani. Inabidi tukumbuke kwamba si JKN, AHM, BWM au JK waliochaguliwa kuingia Ikulu kwa sababu ya dini zao, tuliwapa nafasi hizo ili watuongoze, hatukuwapa kwasababu ya dini zao. Watakapofanya vizuri tutawasifu na kuwashukuru kwa utendaji wao na sio kwa dini zao na upande wa pili vile vile, wakifanya vibaya tutawakosoa kwa matendo yao na sio kwa dini zao.
 
Tatizo letu WTZ tunapenda kutawaliwa na madicteta kama Nyerere. Watu hawajui maana ya FREEDOM.

Kuwa na rais ambaye anatabasamu muda wote akiacha nchi kugawanyika kijiografia, kimatabaka (walio nacho vs wasio nacho), kidini, kikabila, etc ndio democracy? Sasa hivi anaogopa hata kutoa hotuba za mwisho wa mwezi-ataanzia wapi maana things are almost out of hand for him! Ataanza hata kuogopa kivuli chake!
 
Wamoja kabla sijaandika chochote nilichunguza kwa makini na kuona tatizo ilo lipo Bongo na bahati nzuri nimepata kuona marais wote wakati wapo katika uhongozi wao,kama unabisha hapahapa kwenye blog yetu kuna mada ngapi zimetolewa kila kikwete anapofanya uteuzi wa watendaji wa nnchi.Caroline wewe tu na roho yako mimi wala sijutii kutoa mada hii na watu wengi wanajua ninachosema ni kweli.magehema sikweli viongozi wakifanya vizuri wanasifiwa kama ulikwepo wakati wa kabla na wakati wa Raisi wa pili maisha yalikua tabu sana,usafiri hakuna,unga,hakuna ,Babu mwinyi kachukua nchi kaitia madaladala,vyakula,na vitu karibu vyote unavyoviona Bongo,nini alipata mbali ya kuambiwa Mdini,mwizi na matusi .kumbukeni unaweza kuwa bigwa wa kupotosha ukweli lakini kuna semi inayosema kwenye ukweli uzushi uwa unajitenga watu mlikuwa mnamsifia che mkapa jinsi anavyoendesha nchi na kudai uchumi bongo ni mzuri kiko wapi leo hii kila kukicha mabomu mapya yanazidi kuibuka.
 
Kama kikwete akifanya makosa na kafanya mengi sana tangu alipochaguliwa kuwa rais tumkosoe na hata mimi mwenyewe nishampiga vijembe sana,hapa mimi nadhungumzia ajenda za siri za wanazofanyiwa marais waislamu wanapokuwa katika uraisi.burudika na kipande hicho kabla sijatoa kingine
 
Kuwa na rais ambaye anatabasamu muda wote akiacha nchi kugawanyika kijiografia, kimatabaka (walio nacho vs wasio nacho), kidini, kikabila, etc ndio democracy? Sasa hivi anaogopa hata kutoa hotuba za mwisho wa mwezi-ataanzia wapi maana things are almost out of hand for him! Ataanza hata kuogopa kivuli chake!

Sasa unataka Rais awe na hasira wakati wote? au unataka Rais atukataze tusizungumze? Udini uliokuwepo Tanzania, ni debate ya Wananchi ambayo rais hawezi kuingilia. Kila Mtanzania au dini yoyote ina haki ya kutetea maslahi yake bila ya kupangiwa na Serikali. Hii ndiyo maana ya FREEDOM. Kwa mfano siasa za Marekani, kila group au kikundi cha dini kinatetea maslahi yake bila ya kuingiliwa na Serikali. Kumbuka, hatupo kwenye sera za UJAMAA; ambapo kila kitu kinafanywa na Rais.
 
Last edited:
My analysis will be a waste of time and abuse of my intelligence. Kwa kifupi wewe huna akili na ndio maana huoni hoja kwenye quote yangu, na hata nikikuandikia kurasa mia za hoja hutoelewa maana ka-mstari kamoja tu kamekushinda kukaelewa.

Sasa mbona hutaki kujibu swali la msingi. Toa hiyo analysis yako kuhusu hayo matatizo. Nyie EXTREMIST ndiyo watu mnaoiharibu hii nchi yetu nzuri. Mnapinga vitu bila ya kutoa hoja ya msingi.
 
I will take your quote as a vivid sign of down-syndrome.

Huu ndiyo ushahidi wa maneno ya Kinafiki unayoandika. Maneno uliyoandika hapa ni ya Kuutukana Uislamu. Huu ni mfano wa BIASES zako za Kidini.

Haya ndiyo maneno aliyoandika mtu anayejiita kwa jina la ABDULHALIM. Anamtukana Mtume Muhammad S.A.W.

Re: Wamarekani, Waingereza na Washirika wao wanaipata-pata Afghanistan

--------------------------------------------------------------------------------

Kwanza unazidi tu kunipotezea muda..eti 'mtume', utume amepewa na nani? Utume upi? Unauliza inaleta maana..yes inaleta maana .kama jamii za kikuraish zilikuwa zikiabudu miungu kadhaa halafu mtu mmoja ghafla anasema nimepata wahyi tuabudu tu mungu ninayemjua mimi unadhania patatosha hapo?

Unarudi tena kulekule. Mwamedi ni mtu mjanja na mtu yeyote asiyejua kuhusu ujanja wake hadi leo huwa anansihangaza sana. Mwamedi alijua kuwa hapokei maagizo yeyote kutoka kwa mamlaka za kimungu na ndio maana ktk manuscript yake mara kadhaa amebadilisha mambo anuai ili kukidhi matakwa yake ya kimwili. Sasa suala kuwa alichoma moto miungu hiyo ni hoja hafifu. alichoma moto masanamu ya Kaaba simply because he knew at back of his head kwamba miungu ya kuchonga haina nguvu .ndio maana ali-abrogate mistari kadhaa kwenye manuscript yake kutokana na upepo ulivyokuwa ukienda, kwani ni yeye peke yake aliyekuwa na access na 'allah'. abragtion ya mistari ya manuscript yake kila apendavyo ni ktk kudhihirisha kuwa hakukuwa na mamlaka iliyokuwa ikimtuma bali ni ghilba zake.

Akiona anahitaji nyumba ndogo, anaamka asubuhi na kujifanya amepokea wahyi mpya, akitaka kuoa kabinti ka miaka 6 anadai amepokea wahyi mpya..akitaka kuvunja ahadi/viapo/maagano anasingizia amepokea wahyi mpya..akitaka kumuoa mke wa mtoto wake wa kufikia anadai amepokea wahyi mpya..and the list goes on and on. huhitaji kuwa rocket scientist kujua Mwamedi was a pure fraud na ukisoma Sira na ahadith it all combine together tht the guy was not even a sane man achilia mbali kujisingizia utume.

Quote: M-Joka

Wacha kusema yasiyo ya kweli!!!. Hebu jaribu ku-make sense ndugu yangu, epukana na uongo kiasi hichi. Ni kweli kama mambo ni hivi ni bora kila mtu ashike lake.

Mwenyezi Mungu akuongoze.


Unazidi kunivunja mbavu. Sasa ni uongo upi niliouleta so far? Nimekwambia unipe ushahidi kuwa allah ni Mungu umeshindwa na kuanza kunileta stori za fraudster Mwamedi. Kwa mtaji huu nadhani wewe hasa ndiye unayehitaji kupepewa na kuongozwa na Mungu, sio mimi.
 
Sasa mbona hutaki kujibu swali la msingi. Toa hiyo analysis yako kuhusu hayo matatizo. Nyie EXTREMIST ndiyo watu mnaoiharibu hii nchi yetu nzuri. Mnapinga vitu bila ya kutoa hoja ya msingi.

Ndugu akilimatope.

Hivi swali hapa ni nini? Maana naona unaning'ang'aniza nijibu swali, swali lenyewe ni lipi?

Hivi kwa akili yako iliyotukuka, extremist ni nani? Ana sifa zipi? Ana umbile lipi?
 
Ni matumaini yangu watu wote tutaanza kuwa makini bila kuingiza unazi na udini katika kumkosoa Raisi,kuna watu wengine wanaposema atujasoma (waislam)wanafikiri atuwezi kuona udini unapofanywa zidi yetu.udini ni kansa kubwa sana Tanzania ambapo waislamu wengi sana wanogopa kuijadili kwa kuofia wataitwa mujaidina,au kutegwa au hata kutoswa na waislamu wenzao kwa kuogopa,mimi ningependekeza tuwe na mada maluum kuusu udini katika bongo live,kwa kutumia webcom ili kuwe na heshima .asanteni sana
 
Jamaa inaonyesha ana chuki mbaya sana zidi ya uislamu na waislamu,siyo peke yake wapo wengi sana,watu kama hao ni kuwajibu kwa hoja na siyo jazba kama anafikiri kuutukana uislamu ni dawa poa tu,Abdul unachofanya sio wewe wakwanza uislamu na waislamu wapo na watakuwapo na wanaongezeka kwa kasi kubwa kuliko dini yoyote duniani.pole sana
 
We acha uzushi nani kakwambia Mwinyi kawa handpick na Nyerere,Nchi ilimshinda na ilikuwa inadidimia baada ya kukaataa mashalti ya IFM na world Bank.na ilikuwa ni muda wa zanzibar kutoa rais.hakuna gazeti lolote au chombo chochote kile kilichokuwa kinasema chochote wakati wa mkapa ni sasa baada ya kufirisi nchi na kumaliza muda wake ndio mnaaanza kuongea wakati yupo rais mlikuwa mnasema ameimalisha uchumi vizuri.ukweli utabaki palepale na fact sina haja ya kuzisema kwani kila mtu anazijua na nimekupa baadhi ya mifano hapo unataka mifano gani?je kwa kusema mimi ndiye mdini unafikili ndio nitaogopa kusema,jibu hoja na siyo kusema mimi mdini utaanza mimi mdini kisha utasema mengi sana I dont care

FYI highlighted ni Institute of Finance Management. anyway umeeleweka lakini
 
Jamaa inaonyesha ana chuki mbaya sana zidi ya uislamu na waislamu,siyo peke yake wapo wengi sana,watu kama hao ni kuwajibu kwa hoja na siyo jazba kama anafikiri kuutukana uislamu ni dawa poa tu,Abdul unachofanya sio wewe wakwanza uislamu na waislamu wapo na watakuwapo na wanaongezeka kwa kasi kubwa kuliko dini yoyote duniani.pole sana
<br />
<br />
Mkuu umetulia sana na umesimamia hoja yako. Huyo hater wa uislam wenzako humu jf wanampotezea tu, pimbi aliyejawa na chuki dhidi ya uislam wakati islam inazidi kupaa dunia nziama.
 
Back
Top Bottom