Hata mimi, Majuto analazimishamimi huyo mzee kusema kweli sionagi kama anachekesha ...naona kama analazimisha sanaa
Mkuu naungana na wewe.mimi huyo mzee kusema kweli sionagi kama anachekesha ...naona kama analazimisha sanaa
Wewe ndo MGONJWA WA AKILIKwa hiyo Majuto hachekeshi ila Katarina anachekesha,
Itakua una matatizo wewe, kapime afya yako.
Wewe ndo MGONJWA WA AKILI
Wewe ni MPUNGA,
Kazi yako kuoteshwa tena sehemu ya maji maji.
hahahahahahahHahahahahaha, kaone kwanza.
akuuuuuuuuuuuuuuuuinabidi na wewe tukuingize kwenye list ya wachekeshaji
Ujue kutofautisha East Africa na West AfricaFala wewee 2 degrees nirudi shule kufanya nini!????
isije ikawa wewe ndo mshamba, maana kipindi kinaitwa Churchil Show na mwenye kipindi anaitwa Churchil naye anafanya comedyWe nae sijui mshamba wa wapi? Churchil ni kipindi cha comedy ambacho huwalikwa comediani kama eric omond na wengine kuchekesha! Pili nahisi umeamka toka usingizini coz iweje umuweke hapo mc pilipili? Kwa lipi labda?
Hivi ulshawahi msikiliza Eric omondi? Nadhani hapo amuweke namba 1. Kwa standup comedy anaongozaYani umtoe Majuto, umuweke Eric,
Itakua umekurupuka anza upya.
Hivi yule Host wa Churchill anaitwa nani? Coz na yeye yumoWe nae sijui mshamba wa wapi? Churchil ni kipindi cha comedy ambacho huwalikwa comediani kama eric omond na wengine kuchekesha! Pili nahisi umeamka toka usingizini coz iweje umuweke hapo mc pilipili? Kwa lipi labda?
Jemutai nae ananikosha mnoooo1. Jemutai
2. Sleepy David
3. Majuto
4. Kansime
5. Mc Jessy
6. Erick Omomd
7. Karis
8. Profesa Hamo
9. Fred Omomd
10. Owago Onyiro
Yani umtoe Majuto, umuweke Eric,
Itakua umekurupuka anza upya.