mkonongo1938
JF-Expert Member
- Jan 22, 2016
- 1,990
- 2,397
Kitale
Ahaaa ila anafikra zakuipeleka Stand Up comedy ya Tanzania mbaliiHajawah kunifanya hata nitasamu
We nae sijui mshamba wa wapi? Churchil ni kipindi cha comedy ambacho huwalikwa comediani kama eric omond na wengine kuchekesha! Pili nahisi umeamka toka usingizini coz iweje umuweke hapo mc pilipili? Kwa lipi labda?
Mbona jamaa ali declare kuwa alidhani ni Africa nzima...! Sasa huoni kwa sentensi hiyo inaonyesha jamaa ameelewa.Labda degree za Sinon college, polytechnic college au MUCCOBS kama hata hujui Nigeria ipo West Africa kanjanja wewe
Namjua kwa clips zakeJaribu kumuangalia huu dada "Anna kansiime"
majuto hachewkeshi wala nn
Kuna clips zake utube akiwa anafanya stand up comedyNamjua kwa clips zake
sijawahi kuona kafanya stand up
Ntazitafuta nioneKuna clips zake utube akiwa anafanya stand up comedy
Hahaha ilikua high heels anadai anajifunzaAlikua stejini na viatu vinanembo ya leaner
Wewe una tatizo la kuto kuona nje.. umejifungia na majuto ukidhani kila mtu ni majuto. stori za kuchekesha zinatofautiana. stori za majuto zina watu wake.. Majuto sikatai kwa tz anajitahidi lakini bado sana . Tunapo zunvumzia comedy ni zaidi ya maigizo.1.Majuto
2.Majuto
3.Majuto
4.Mpoki
viroba ndo vimecoment hapaHata tukiweka top 10 afrika mashariki majuto hata ingia.