BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
Original comedy wanachekesha nini?????
majuto hachewkeshi wala nnYani umtoe Majuto, umuweke Eric,
Itakua umekurupuka anza upya.
hahaha ananichekesha sana huyu mwanamke na ni mrembo wa hajaMmemsahau Katarina wa Karatu na HD wake
Hiii listi sijui kaipata wapi labda ya ma mc sio wachekeshajiWe nae sijui mshamba wa wapi? Churchil ni kipindi cha comedy ambacho huwalikwa comediani kama eric omond na wengine kuchekesha! Pili nahisi umeamka toka usingizini coz iweje umuweke hapo mc pilipili? Kwa lipi labda?
hahaha walaaa mi simuanfaliagi hata naona anawafaa watoto wadogoMajuto king bwana hata ukiwashinda nisha na wote hao hakuna kitu
Sawa mkuu nmekunyoshea mikono..Hint:Hivyo vyuo sijawai hatakufikilia kufundisha achia mbali kusomaLabda degree za Sinon college, polytechnic college au MUCCOBS kama hata hujui Nigeria ipo West Africa kanjanja wewe
Jaribu kumuangalia huu dada "Anna kansiime"Kuchekesha kwa aina gani?
kuigiza?
au stand up?
kwa Stand up ...hawa kwangu ndo best for now
sijui yupo moja yupi mbili
but wote nawakubali
1.Mpoki
2.Mc Pilipili
3.Mc pepe
4.Churchil
5.Omondi...
Yule muongozaji(Daniel Ndambuki)..Anaitwa churchill pia..Kipindi kinaitwa Churchill showWe nae sijui mshamba wa wapi? Churchil ni kipindi cha comedy ambacho huwalikwa comediani kama eric omond na wengine kuchekesha! Pili nahisi umeamka toka usingizini coz iweje umuweke hapo mc pilipili? Kwa lipi labda?
weka yako
hujapewa kibarua cha kukosoa list za wengine....
Hawa ndio wasanii bora kwa uchekeshaji africa mashariki (top 4)
1. Original Comedy
2.Omondi eric
3. Teacher Mpamire
4. Anne Kansime
Mkuu naona stand up comedy kwa Tanzania bado kenya wako vizuri sana, hasa show ya churchhillKuchekesha kwa aina gani?
kuigiza?
au stand up?
kwa Stand up ...hawa kwangu ndo best for now
sijui yupo moja yupi mbili
but wote nawakubali
1.Mpoki
2.Mc Pilipili
3.Mc pepe
4.Churchil
5.Omondi...
Jemutai yuko vizuri huwa natamani Tanzania tupate stand up comedy nyingi na nzuriii kama Kenya1. Jemutai
2. Sleepy David
3. Majuto
4. Kansime
5. Mc Jessy
6. Erick Omomd
7. Karis
8. Profesa Hamo
9. Fred Omomd
10. Owago Onyiro
Alikua stejini na viatu vinanembo ya leanerJemutai yuko vizuri huwa natamani Tanzania tupate stand up comedy nyingi na nzuriii kama Kenya
Evance Bukuku