Enhe....... unasemaje kuhusu mikopo?Ngoja kwanza tujadili mustakabali wa wadogo zetu(mikopo).
Nina miaka mingi sana sijasikiliza radio
Mara ya mwisho nilikuwa napenda sana kusikiliza Kiss FM enzi za African beats!!!
Yule si kashaacha Mkuu na kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Wilaya? Ama nawachanganya?Kuna yule msoma habari wa clouds tv anamuiga Salim Kikeke
Godfrey kusolwa yule alikuwa saharaKuna yule msoma habari wa clouds tv anamuiga Salim Kikeke
Setikali inasema pesa zmeisha kwa bankNgoja kwanza tujadili mustakabali wa wadogo zetu(mikopo).
Hapo,Mkuu umepaona, na umesema kweli, Tumefika mahala, kusoma taarifa ya habari,na kugani mashairi, ni kitu kimoja! Kama mtangazaji Y kwenye TV X, huwa hasomi taarifa ya habari, huwa anagani, kama mashairi.Tabia hii (kuigana sauti) ya watangazaji wa runinga na redio inakera sana, vyombo husika vinakuwa vinafanana hadi ladha mpya inakosekana.
Maintain your vocals don't c&p
Alipokuwa Ea radio alikuwa hatangazi kama sasaJamaa anaitwa Lukindo (Informer) wa clouds anamuiga Millard Ayo
Last time nimesikiliza Redio ilikuwa hii nyimbo inachezwa usiku
Yaah saivi tasnia imevamiva na wahuni wengiKumbe sipo peke yangu, mara ya mwisho ilikuwa 2006 RFA Ya Fredwaa.
Upo kama mimi...Tv na Redio nina muda mrefu sana....kwangu JF ndo sehemu ya kupumzikiaaNina miaka mingi sana sijasikiliza radio
Mara ya mwisho nilikuwa napenda sana kusikiliza Kiss FM enzi za African beats!!!
Kile kipindi ni hatari mara ya mwisho kukiskiliza ni 2007 na Dj MalisNina miaka mingi sana sijasikiliza radio
Mara ya mwisho nilikuwa napenda sana kusikiliza Kiss FM enzi za African beats!!!