Mchagga alipata dem wa ki pwan kwenda guest
dem kavua,shanga tele!chagga yesu na maria
rozar zote hiz umeiba parokia gan?
Mchagga alipata dem wa ki pwan kwenda guest
dem kavua,shanga tele!chagga yesu na maria
rozar zote hiz umeiba parokia gan?
Tumechoshwa na habari za Wachaga, siku hizi
kila mtu amekuwa mtani wa Wachaga...
Hoiiiiiiiiiiiii, kitu mnatooooooSearching...100%
Loading...100%
Network Connected !
Yap !
Kwa nn usingesema "jamaa mmoja"au "wewe mwenyewe"?kuliko kusema et mchaga m1,ila tambua ya kwamba wachaga hatunaga tabia ya kuwachukukua mademu wa aina hiyo (wanaovaa shanga),ki2 kingine naona leo bora nipigwe BAN 7bu yako "**** WE"!
Ana haki ya kushangaa kwa kuwa uichagani hazipo.kashfa hiyo!
ze mangi,naona hujui maana ya utani unajua kwanin hichi kipengele kikaandikwa Jokes+Utan?hata mim ni mchagga najuaga hiz hamna lkn ni utan au wew unatakaje?
tatizo ni kwamba.....inabore sasa maana hutaona makabila mengine yakianikwa hapa na hata ikiwa hivyo ni mara chache sana,lakini kwa wachaga inakuwa ni hao hao kila mara,why?
Tumechoshwa na habari za Wachaga, siku hizi
kila mtu amekuwa mtani wa Wachaga...