ZeMangi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 436
- 33
hahahaha! Zemangi upo hapo?
nipo aithee,ila huyo mchaga hakuwa mimi
hahahaha! Zemangi upo hapo?
wachanga watu wazuri bhana
...teheeeee
mangi ana software za ubahili
Haaaaaaa..haaaaa Mangi noma..
Mhindi,mpare na mchaga walienda kutoa msaada wa pesa kwa maskini.lakini waliweka masharti ya kupata huo msaada.na mambo yalikuwa hivi:-
mhindi>mimi ntachora duara kisha ntarusha pesa juu,zitakazoingia zenu,zitakazo toka nje zangu
mpare>mimi ntachora mstari kisha ntarusha pesa juu,zitakazo dondokea kwenye mstari zenu,zitakazo toka nje zangu
mchaga>mimi ntarusha pesa juu zitakazobaki juu zenu,zitakazorudi chini zangu!
Eka mbe!
Acha uongo dogo.
Wewe mwenyewe unasema Mpare (mmoja) Mhindi (mmoja na Mchaga(mmoja), sasa kwa hiyo aliyerushwa alikuwa Michael xxxxx ambaye ni mchaga
Hivyo mtoa mada ungesema Michael xxxx ni noma sio mtu hata kidogo kuliko kuturundika wachaga wote humo wakati me hata sijui hiyo event ilitokea lini, wapi na vipi unanijumuisha nae.
ZUKU
Mhindi,mpare na mchaga walienda kutoa msaada wa pesa kwa maskini.lakini waliweka masharti ya kupata huo msaada.na mambo yalikuwa hivi:-
mhindi>mimi ntachora duara kisha ntarusha pesa juu,zitakazoingia zenu,zitakazo toka nje zangu
mpare>mimi ntachora mstari kisha ntarusha pesa juu,zitakazo dondokea kwenye mstari zenu,zitakazo toka nje zangu
mchaga>mimi ntarusha pesa juu zitakazobaki juu zenu,zitakazorudi chini zangu!
ata mm hunivutia sana wachaga!!wachanga watu wazuri bhana