Wachaga kuwa na lugha nyingi, sababu hii hapa!

TL. Marandu

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
3,625
5,807
Nimekuwa Nikijitaabisha sana Kifikira, Kutaka Kujua, Kwanini Tanzania, Utakuta Makabila Mawili au zaidi Wana lugha karibu Moja Mfano Wasukuma na Wanyamwezi Lakini Wakati huo huo, Kabila Moja katika Eneo Dogo La Kilimanjaro, Kabila la Wachagga wana Makundi madogo yenye Kutofautiana Lugha?

Warombo Kwa Mfano, Wilaya Ya Rombo Peke yake, Kuna Wamkuu, Wana lugha tofauti, Ukiendelea Kidogo Utakuta Kuna Wamrao, Ukiendelea Kidogo Utakuta Wamashati, Ukiendelea Unakuta Waseri na Tarakea.

Nilichogundua ni Kuwa Sio Swala La Ubishi, Bila Mawasiliano, Watu hawawezi Kuwa na Lugha Moja. Pia Nikagundua Huko siku za Nyuma Kulikuwa na Mvua nyingi sana Zilizotokana na Mlima Kilimanjaro Kukinga Mawingu ya Mvua.

Kutokana na Mvua Nyingi, Mito Mingi Mikubwa na Midogo Ilitiririka Kutokea Mlima Kilimanjaro, sasa Nilichogundua, Kila Unapovuka Mto, Lunga inabadilika Kidogo, Kadiri ya Ukubwa wa Mto Ndipo Upande wa Pili Lugha inatofautiana zaidi.

Mfano Rombo, Ukitokea Mkuu Ukivivuka Mto mkubwa Ungwasi Lugha Inabadili Kiasi cha Kushidwa Kuelewana, Halafu Ukiendelea, Ukavuka Mto mdogo wa Washi, Lugha inabadilika Kidogo, Ukiendelea Ukavuka Mto Maarwe Ndio mwisho wa Lugha ya Kimrao, Keni na Kimashati, Ukiendelea Ukavuka Mto Katangara na Kisha Mto Kikelelwa na Mto useri, Lugha inabadilika Kabisa Inakuwa Kiuseri.

Hivyo Hitimisho Langu Ni Kuwa Huko Nyuma, Mito ilikuwa Ni Mikubwa sana, Madraja hayakuwepo, na Kulikuwa Mahusiano ya Pande Mbili zilizotengwa na Mto yalikuwa ni Madogo, na Madogo zaidi Kadiri ya Ukubwa wa Mto. Ndio Sababu hasa ya Tofauti za Lungha lizipo sasa Kwa Wachagga. Leave it or Take it.
 
Nimekuwa Nikijitaabisha sana Kifikira, Kutaka Kujua, Kwanini Tanzania, Utakuta Makabila Mawili au zaidi Wana lugha karibu Moja Mfano Wasukuma na Wanyamwezi Lakini Wakati huo huo, Kabila Moja katika Eneo Dogo La Kilimanjaro, Kabila la Wachagga wana Makundi madogo yenye Kutofautiana Lugha?

Warombo Kwa Mfano, Wilaya Ya Rombo Peke yake, Kuna Wamkuu, Wana lugha tofauti, Ukiendelea Kidogo Utakuta Kuna Wamrao, Ukiendelea Kidogo Utakuta Wamashati, Ukiendelea Unakuta Waseri na Tarakea.

Nilichogundua ni Kuwa Sio Swala La Ubishi, Bila Mawasiliano, Watu hawawezi Kuwa na Lugha Moja. Pia Nikagundua Huko siku za Nyuma Kulikuwa na Mvua nyingi sana Zilizotokana na Mlima Kilimanjaro Kukinga Mawingu ya Mvua.

Kutokana na Mvua Nyingi, Mito Mingi Mikubwa na Midogo Ilitiririka Kutokea Mlima Kilimanjaro, sasa Nilichogundua, Kila Unapovuka Mto, Lunga inabadilika Kidogo, Kadiri ya Ukubwa wa Mto Ndipo Upande wa Pili Lugha inatofautiana zaidi.

Mfano Rombo, Ukitokea Mkuu Ukivivuka Mto mkubwa Ungwasi Lugha Inabadili Kiasi cha Kushidwa Kuelewana, Halafu Ukiendelea, Ukavuka Mto mdogo wa Washi, Lugha inabadilika Kidogo, Ukiendelea Ukavuka Mto Maarwe Ndio mwisho wa Lugha ya Kimrao, Keni na Kimashati, Ukiendelea Ukavuka Mto Katangara na Kisha Mto Kikelelwa na Mto useri, Lugha inabadilika Kabisa Inakuwa Kiuseri.

Hivyo Hitimisho Langu Ni Kuwa Huko Nyuma, Mito ilikuwa Ni Mikubwa sana, Madraja hayakuwepo, na Kulikuwa Mahusiano ya Pande Mbili zilizotengwa na Mto yalikuwa ni Madogo, na Madogo zaidi Kadiri ya Ukubwa wa Mto. Ndio Sababu hasa ya Tofauti za Lungha lizipo sasa Kwa Wachagga. Leave it or Take it.
Mhh.., je kuna utafiti uliokwishakufanyika muthibitisha nadharia yako?
 
Nimekuwa Nikijitaabisha sana Kifikira, Kutaka Kujua, Kwanini Tanzania, Utakuta Makabila Mawili au zaidi Wana lugha karibu Moja Mfano Wasukuma na Wanyamwezi Lakini Wakati huo huo, Kabila Moja katika Eneo Dogo La Kilimanjaro, Kabila la Wachagga wana Makundi madogo yenye Kutofautiana Lugha?

Warombo Kwa Mfano, Wilaya Ya Rombo Peke yake, Kuna Wamkuu, Wana lugha tofauti, Ukiendelea Kidogo Utakuta Kuna Wamrao, Ukiendelea Kidogo Utakuta Wamashati, Ukiendelea Unakuta Waseri na Tarakea.

Nilichogundua ni Kuwa Sio Swala La Ubishi, Bila Mawasiliano, Watu hawawezi Kuwa na Lugha Moja. Pia Nikagundua Huko siku za Nyuma Kulikuwa na Mvua nyingi sana Zilizotokana na Mlima Kilimanjaro Kukinga Mawingu ya Mvua.

Kutokana na Mvua Nyingi, Mito Mingi Mikubwa na Midogo Ilitiririka Kutokea Mlima Kilimanjaro, sasa Nilichogundua, Kila Unapovuka Mto, Lunga inabadilika Kidogo, Kadiri ya Ukubwa wa Mto Ndipo Upande wa Pili Lugha inatofautiana zaidi.

Mfano Rombo, Ukitokea Mkuu Ukivivuka Mto mkubwa Ungwasi Lugha Inabadili Kiasi cha Kushidwa Kuelewana, Halafu Ukiendelea, Ukavuka Mto mdogo wa Washi, Lugha inabadilika Kidogo, Ukiendelea Ukavuka Mto Maarwe Ndio mwisho wa Lugha ya Kimrao, Keni na Kimashati, Ukiendelea Ukavuka Mto Katangara na Kisha Mto Kikelelwa na Mto useri, Lugha inabadilika Kabisa Inakuwa Kiuseri.

Hivyo Hitimisho Langu Ni Kuwa Huko Nyuma, Mito ilikuwa Ni Mikubwa sana, Madraja hayakuwepo, na Kulikuwa Mahusiano ya Pande Mbili zilizotengwa na Mto yalikuwa ni Madogo, na Madogo zaidi Kadiri ya Ukubwa wa Mto. Ndio Sababu hasa ya Tofauti za Lungha lizipo sasa Kwa Wachagga. Leave it or Take it.


Hakuna kitu kama ,,Kabila la Kichaga" Dunia hii!
 
Theory yako iko moja tu. Wanasema hakuna kabila duniani wanaloitwa Wachagga. Wachagga ni mkusanyiko wa vikabila vidogovidogo. Ingawa wanaoitwa wachagga hawapendi ukweli.
 
Hakuna kitu kama ,,Kabila la Kichaga" Dunia hii!
Ndilo kabila la kumi kwa umaarufu africa.
kabila ni muingiano wa jamii mbalimbali ambazo zilikuwa zinahama.zimekutana sehemu zikaamua kujiunga na kutengeneza lugha yao.kabila likiwa kubwa hutengeneza lahaja.uchagani zile ni lahaja za kichagga na hutofautiana kadri ya umbali. Mf kabila kama wagogo ni matokeo ya muingiano wa makabila ya wahehe,masai,kaguru,wanyambwa, na wengineo.
pia kumbuka makabila yote ya kiafrika yana hayana hasa origin ya eneo ilo yamekuwa yakihama hasa kabla ya karne ya 15.ivo kuna mwingiano mwingi
 
Ndilo kabila la kumi kwa umaarufu africa.
kabila ni muingiano wa jamii mbalimbali ambazo zilikuwa zinahama.zimekutana sehemu zikaamua kujiunga na kutengeneza lugha yao.kabila likiwa kubwa hutengeneza lahaja.uchagani zile ni lahaja za kichagga na hutofautiana kadri ya umbali. Mf kabila kama wagogo ni matokeo ya muingiano wa makabila ya wahehe,masai,kaguru,wanyambwa, na wengineo.
pia kumbuka makabila yote ya kiafrika yana hayana hasa origin ya eneo ilo yamekuwa yakihama hasa kabla ya karne ya 15.ivo kuna mwingiano mwingi


Basi labda hauelewi maana ya Kabila, Kabila ni jamii ya watu wa aina moja, wenye utamaduni na kuongea lugha moja, kwanza hata unaweza kwenda mbali na kusema wanaoshare same genetic pool, lkn haya mnayoyaita Makabila hapa TZ ni matokeo ya Ukoloni, kabla ya kuja Wazungu wengi mnaowaita Wachaga leo hii walikuwa hawajulikani/hawajiiti Wachaga!

Hivyo hakuna Kabila la wachaga kama kulivyo kuwa hakuna Kabila la Wanyamwezi, Wasukuma wala Wahaya kwa maana halisi ya Kabila, ukisema kuna kabila la Wakibosho au Wamarangu angalau unaweza kukaribia usahihi kidogo wa maana ya kabila!
 
Nakupinga kabisa we dada.makabila yapo na lahaja zipo na zinatofautiana kadir ya eneo.ukisema sijui tuite wakibosho au wamachame hapana. Maana hao wakibosho au yeyote wamechanganyikana na ndo mana koo moja waweza ikuta maeneo yote.mf wamassawe wapo kibosho marangu na hata rombo.wakiria wapo marangu rombo na kibosho.ile ni jamii moja.na ndo mana koo zake zimesambaa kote
 
Ndilo kabila la kumi kwa umaarufu africa.
kabila ni muingiano wa jamii mbalimbali ambazo zilikuwa zinahama.zimekutana sehemu zikaamua kujiunga na kutengeneza lugha yao.kabila likiwa kubwa hutengeneza lahaja.uchagani zile ni lahaja za kichagga na hutofautiana kadri ya umbali. Mf kabila kama wagogo ni matokeo ya muingiano wa makabila ya wahehe,masai,kaguru,wanyambwa, na wengineo.
pia kumbuka makabila yote ya kiafrika yana hayana hasa origin ya eneo ilo yamekuwa yakihama hasa kabla ya karne ya 15.ivo kuna mwingiano mwingi
Wewe hata maana ya Lahaja huelewi. Kichaga si lahaja sababu hawasikilizani
 
Roho yako imeshafurahi sana kwa sababu hakuna Kabila la Kichagga duniani? Husda itakuua wewe.


Huwo ndiyo ukweli uchaga siyo Kabila Kama vile Usukuma au sijui Ugogo wote hao siyo Kabila, na kwanza kama ulikuwa haufahamu Kabila siyo jambo la kujivunia ni neno la dharau kwa binadamu!
 
Huwo ndiyo ukweli uchaga siyo Kabila Kama vile Usukuma au sijui Ugogo wote hao siyo Kabila, na kwanza kama ulikuwa haufahamu Kabila siyo jambo la kujivunia ni neno la dharau kwa binadamu!
Unafiki unakusumbua tu chuki yako kwa wachagga inajulikana wazi
 
Mbona hela wachagga wote wanaiita jina moja?
IMG-20160322-WA0004.jpg
 
Nimekuwa Nikijitaabisha sana Kifikira, Kutaka Kujua, Kwanini Tanzania, Utakuta Makabila Mawili au zaidi Wana lugha karibu Moja Mfano Wasukuma na Wanyamwezi Lakini Wakati huo huo, Kabila Moja katika Eneo Dogo La Kilimanjaro, Kabila la Wachagga wana Makundi madogo yenye Kutofautiana Lugha?

Warombo Kwa Mfano, Wilaya Ya Rombo Peke yake, Kuna Wamkuu, Wana lugha tofauti, Ukiendelea Kidogo Utakuta Kuna Wamrao, Ukiendelea Kidogo Utakuta Wamashati, Ukiendelea Unakuta Waseri na Tarakea.

Nilichogundua ni Kuwa Sio Swala La Ubishi, Bila Mawasiliano, Watu hawawezi Kuwa na Lugha Moja. Pia Nikagundua Huko siku za Nyuma Kulikuwa na Mvua nyingi sana Zilizotokana na Mlima Kilimanjaro Kukinga Mawingu ya Mvua.

Kutokana na Mvua Nyingi, Mito Mingi Mikubwa na Midogo Ilitiririka Kutokea Mlima Kilimanjaro, sasa Nilichogundua, Kila Unapovuka Mto, Lunga inabadilika Kidogo, Kadiri ya Ukubwa wa Mto Ndipo Upande wa Pili Lugha inatofautiana zaidi.

Mfano Rombo, Ukitokea Mkuu Ukivivuka Mto mkubwa Ungwasi Lugha Inabadili Kiasi cha Kushidwa Kuelewana, Halafu Ukiendelea, Ukavuka Mto mdogo wa Washi, Lugha inabadilika Kidogo, Ukiendelea Ukavuka Mto Maarwe Ndio mwisho wa Lugha ya Kimrao, Keni na Kimashati, Ukiendelea Ukavuka Mto Katangara na Kisha Mto Kikelelwa na Mto useri, Lugha inabadilika Kabisa Inakuwa Kiuseri.

Hivyo Hitimisho Langu Ni Kuwa Huko Nyuma, Mito ilikuwa Ni Mikubwa sana, Madraja hayakuwepo, na Kulikuwa Mahusiano ya Pande Mbili zilizotengwa na Mto yalikuwa ni Madogo, na Madogo zaidi Kadiri ya Ukubwa wa Mto. Ndio Sababu hasa ya Tofauti za Lungha lizipo sasa Kwa Wachagga. Leave it or Take it.
Mbula!!mkuu bila shaka wewe kwenu ni mkuu!! Tena kule juu rongai kunakolimwa viazi mbatata!!
 
Warombo Kwa Mfano, Wilaya Ya Rombo Peke yake, Kuna Wamkuu, Wana lugha tofauti, Ukiendelea Kidogo Utakuta Kuna Wamrao, Ukiendelea Kidogo Utakuta Wamashati, Ukiendelea Unakuta Waseri na Tarakea.
Kwa Rombo wao wana Lugha yao moja tuu ILA kinachofanya watofautiane ni LAFUDHI.
 
Back
Top Bottom