Endelea kuangalia ukimaliza nisimulie.Wahaya mi naona wanapenda elimu na wachaga wanapenda biaShara, na pia wahaya wanajua mapenzi na wachaga wanajua pesa,,,,,
Wahaya wako juu wachaga wako chini mno hawamfikii mhaya kwa lolote
Meku hapo kwenye red ni wapi?kweli wahaya wako juu kwas ile kitu wachaga hawafikii hata kidogo.
ila kwenye mambo mengine mwulizeni kikwete atawaambia ni kina nani anaowategemea.
wala msiumize vichwa sana tafuteni selection za kuanzia o level mpaka univercity.
mpaka hapo ubishi utaisha.
ukiona hiyo ni ngumu safiri nchi yoyote duniani taja hayo makabila ulinganishe ni nchi ngapi zinalijua kila kabia na ni kwa nini wanalijua?
JF usipowazungumzia wahaya na wachaga unajihisi kama umekuwa shoga vile. Kila siku hapa ni wahaya na wachaga. Give us a break! Manina!
Wahaya wako juu wachaga wako chini mno hawamfikii mhaya kwa lolote
Meku hapo kwenye red ni wapi?
JF usipowazungumzia wahaya na wachaga unajihisi kama umekuwa shoga vile. Kila siku hapa ni wahaya na wachaga. Give us a break! Manina!
Wahaya wako juu wachaga wako chini mno hawamfikii mhaya kwa lolote