Wachaga hangaikieni mlima wenu

Kama serikali imeamua kuwa kimya haina haja ya kumstress mchagga maana mlima uko TZ
 
nyie waswahili mtaendelea kucheza bao na kupiga miayo kutwa, pale moshi na vitongoji vyake vijana na watu wote wapo busy na utalii wakiongozwa na mh. Ndesamburo aka Ndesa pesa, vijana wanawapandisha wazungu mlima kilimanjaro wanpiga pesa tena in US$ , Makampuni ya kukodisha magari yanapata kazi throughout tourism seasons, wafanyabiashara wenye mahoteli wanapiga pesa mbaya sana, wenye maduka ya bidhaa (retails and mini supermarket) wanapiga hela, wafanyabiashara ndogo ndogo pia wana kama sokoni nao wananufaika, mji wa moshi ni msafi na uliopangika kuliko miji yote tanzania, mbege ni kinywaji cha kimila na inaheshima kuliko hata ghahawa na kashata,

kikubwa zaidi watu wasichofahamu kuhusu mlima kilimanjaro ni kwamba, ile volcano iliyotoka kwenye mlima ule ndiyo iliyotoa udongo wa volcano ambao ndio udongo bora kwa zao la kahawa, hebu jiulize kwanini mkoa huu kati ya mikoa midogo Tanzania lakini ina shule nyingi za sekondari kuliko mikoa yote Tanzania, straight forward hii ni matokeo ya uchumi bora unaotokana na zao la kahawa na mlima kilimanjaro pamoja na zawadi mungu aliyowapa wachaga ya kuwa aggressive in business

mswahili unalalama lalama tuu, kazi hamtaki kufanya ni ufitini tuu,

bakini na njaa zenu

wachaga kanyaga twende

LAT asante sana.

Pia nawaongezea: Mount Kilimanjaro is a World Heritage Site

Je wanajua maana ya kuwa World Heritage Site?

Pia ada za kiingilio katika mlima Kilimanjaro ndo ghali zaidi Africa, pamoja na hayo Mlima Kilimanjaro unaongoza kuwa na wageni wengi zaidi kati ya mbuga zote Tanzania. Hata Serengeti ni cha Mtoto. - Source Wizara ya Maliasili na Utalii
 
Wanaume na wanawake wa ukweli wapo uchagani tu wengine ni photocopy,hii nchi bila mchaga itafilisika
 
Wao akili yao ni mbege na CDM, huo mlima hawana hata habari nao

hivi una habari mapato yanayokusanywa yananufaisha zaidi taifa kwa ujumla kuliko wanaozungukwa na eneo hilo

ni chini ya asilimia 7 fedha inayorejeshwa kupitia Tanapa ili kuuweka mlima ktk mazingira ya kuvutia na hali nzuri
 
huo sasa ni mwanzo wa ukabila chonde tuachane na mawazo finyu TANZANIA NI MOJA
 
Back
Top Bottom