Wao akili yao ni mbege na CDM, huo mlima hawana hata habari naowizara imewasusia kuhamasisha watanzania kupigia kura mlima
wakuu wachaga mnasemaje kwenye hilo>?mnakubali wizara na waziri wake wawafanyie hivyo?
chezeni wenyewe kwa sababu mnaweza,tunawakubali
msikubali hii chance adimu iwatoke
kwa maslahi ya nani???wizara imewasusia kuhamasisha watanzania kupigia kura mlima
wakuu wachaga mnasemaje kwenye hilo>?mnakubali wizara na waziri wake wawafanyie hivyo?
chezeni wenyewe kwa sababu mnaweza,tunawakubali
msikubali hii chance adimu iwatoke
ok wewe wa akili za madrasa na ubwabwa?????????mumeiendeleza sana mikoa yenuWao akili yao ni mbege na CDM, huo mlima hawana hata habari nao
Wao akili yao ni mbege na CDM, huo mlima hawana hata habari nao
hivi huyu waziri wa hii wizara kabila gani?hapendi wachaga?
hata kama huu mlima ukawemo kwenye list bado pesa itaelekea mifukoni kwa mafisadi so hamna faida tutakayopatahivi huyu waziri wa hii wizara kabila gani?hapendi wachaga?
Huo mlima tunakula??we acha ongelea njia za panya ununue sukari 5000
Nimeshapiga kura yangu tayari
wanataka tupige kura ili wakenya wafaidi kura zetu! Akk'aa!mengi aupigie kura yeye ndo anayechota huko maji na kuja kutuuzia huku mjini.
mimi najua tembo huwa wahashuka kutoka kule mlimani kila mwaka na kuja kuharibu mashamba na kuuwa watu.
kama vipi kenya wauchukue tu.
sitaki kufanya kitu chochote kinachohamasishwa na hawa wezi. Wametorosha wanyama hadi magogo? Wanatuambia tupigie kura huu mlima ili waendelee kuneemeka wao? Ni bora wafaidi wakenya ambao hata bidhaa wanatengeneza na kutuuzia kuliko haya madudu-watu yanayojali matumbo yao na malaya zao. Acha wakenya waupigie kampeni na waupigie kuraule mlima wetu wakenya wanaibia,kama huamini subiri ccm itoke madarakani ndio utajua