Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Nimehesabu viti kwenye hii picha ambayo imepigwa ikiwa na neno posho za wabunge.
Kiti kilichokaliwa ni cha Anne Kilango tu na vingine 26 viko wazi. Anne Kilango hukaa sana upande wa CCM.
Idadi hiyo ya absentees 26 ni sawa kabisa na idadi ya wabunge wa kuchaguliwa wa CHADEMA bila kuhesabu wa viti maalum.
Viti hivi 26 kwa posho ya shs. 200,000 maana yake ni shs. 5,200,000/= kwa jana tu!
Tafakari