Ni hatar sana huko tunakoelekea, wanaJF tafuten kanun za bunge tuone, huenda kikanun yupo sahih, ingawa kwa haraka haraka inaonekana kabisa AMECHEMKA. Huenda jambo hili la kuzama kwa Meli lipo MAHAKAMANI.!???
hahahahaaa,,,,,wewe umenena,,,,duh
Ni hatar sana huko tunakoelekea, wanaJF tafuten kanun za bunge tuone, huenda kikanun yupo sahih, ingawa kwa haraka haraka inaonekana kabisa AMECHEMKA. Huenda jambo hili la kuzama kwa Meli lipo MAHAKAMANI.!???
hahahahaha hata mimi siwezi kuangalia bunge kama chadema hawapo au hawaongei, maana wabunge wa CCM kazi yao ni kupongezana tu na kuongea mambo ambayo hayana uhalisia maana linaweza kusimama libunge linaanza kutoa shukrani na sifa kibao halafu gafla linaanza kulalamika jimboni kwake sijui hivi mara vile huwa najiuliza hawa ni wabunge au vibaraka halafu wengi ni wabunge wa viti maalum nadhani katiba yetu mpya viti maalum zisiwepoMi alivyokataa kuahirisha niliamua kuangalia mpira wa simba.bungeni kama chadema hawapo hilo sio bunge .bi kiroboto kweli hunaga aibu
mwongozo huohuo kwa hamadi Rashidi aligoma du hii kali.!Bunge limehailishwa baada ya waziri Nchimbi kuomba kufanya hivyo
mungu waweke viongozi wa chadema ili wawafundishe ccm kazi
Haya chukueni 'soseji' ili muweze kuchangia! Mtatoa mchango gani? Hela?!tupeni sosi, jamani tuweze kuchangia
mwongozo huohuo kwa hamadi Rashidi aligoma du hii kali.!
... Ni leo leo niliandika kireefu kuhusu mashaka yangu na huyu spika, yaani hajui analosimamia, yupo yupo tu.
huyu mama kawa kichekesho leo, mwanzo kakataa kuhairisha Bunge, baada ya wabunge kutoka Nje akaona imekula kwake mara moja akahairisha Bunge kwa aibu kubwa, Nchi hii haina Spika wa Bunge