Umedandia kwa mbele
mama mbona anashindwa kupima upepo ?
Ni hatar sana huko tunakoelekea, wanaJF tafuten kanun za bunge tuone, huenda kikanun yupo sahih, ingawa kwa haraka haraka inaonekana kabisa AMECHEMKA. Huenda jambo hili la kuzama kwa Meli lipo MAHAKAMANI.!???