Mpaka sasa hakuna Quoram bungeni sijui hiyo bajeti ataipitisha kwa utaratibu gani , ama atalazimisha ?
Bajeti inahusu waziri wa mambo ya ndani ambaye jeshi la uokoaji na zima moto liko chini yake badala ya kumpa nafasi ili aweze kutoa maelekezo mbalimbali yeye anaendesha kikao AIBU KWA WABUNGE WA CCM WALIOPO NDANI YA UKUMBI
Bajeti inahusu waziri wa mambo ya ndani ambaye jeshi la uokoaji na zima moto liko chini yake badala ya kumpa nafasi ili aweze kutoa maelekezo mbalimbali yeye anaendesha kikao AIBU KWA WABUNGE WA CCM WALIOPO NDANI YA UKUMBI