Nikuanzia tarehe 03-05 Machi,2015 ni Geita Mjini,kata ya Nkome na Buselesele:Mnyika,Mdee,Zito,Lema,Silinde,Wenje,Higness nk.Kifupi ni wabunge wote vijana kupitia CHADEMA(wakuchaguliwa na wa viti maalumu).
Karibuni wote.
Mkuu unasubiriwa kwenye ile thread yako ya Uzini ukatoe ufafanuzi wa kile ulichosema kuhusu matokeo ya uchaguzi
wenje ana miaka mingapiNikuanzia tarehe 03-05 Machi,2015 ni Geita Mjini,kata ya Nkome na Buselesele:Mnyika,Mdee,Zito,Lema,Silinde,Wenje,Higness nk.Kifupi ni wabunge wote vijana kupitia CHADEMA(wakuchaguliwa na wa viti maalumu).
Karibuni wote.
Aiseee,
Hiyo imekaa njema.
Rogers Ruhega alimshinda yule Mlevi Max aliyepigwa BAN bungeni kwa kulewa hadi mjengoni.
Kila la kheri wana Geita.
Nitajitahidi nije niwaunge mkono, kwa sasa niko hapa Arusha nilifika kusikiliza kesi ya Mh. Lema