Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 500
JE NI WABUNGE WETU WANA SIFA HIZI HAPA CHINI ZA KIONGOZI BORA?
1.Kusimamia SHERIA bila kujali gharama yake
2.Mshawishi wa vitendo, uadilifu na ujasiri
3.Kiongozi bora haogopi kukosolewa
4.Kiongozi bora huthubutu
5.Asimamie maamuzi
6.Adhibiti msongo wa mawazo
7.Awe egemeo la watu
8.Afahamu kutatua matatizo
9.Asiwe mwenye majungu
10.Awe mkweli.
My take.Najua humu jf ni watu wa busara na wapenda kutangaliza maslahi ya nchi kabla ya chama. Tujiiuliza je hivo vyama,viongozi wetu tunaowashabikia wana hizo sifa za kulifikisha taifa letu mahala pazuri?
1.Kusimamia SHERIA bila kujali gharama yake
2.Mshawishi wa vitendo, uadilifu na ujasiri
3.Kiongozi bora haogopi kukosolewa
4.Kiongozi bora huthubutu
5.Asimamie maamuzi
6.Adhibiti msongo wa mawazo
7.Awe egemeo la watu
8.Afahamu kutatua matatizo
9.Asiwe mwenye majungu
10.Awe mkweli.
My take.Najua humu jf ni watu wa busara na wapenda kutangaliza maslahi ya nchi kabla ya chama. Tujiiuliza je hivo vyama,viongozi wetu tunaowashabikia wana hizo sifa za kulifikisha taifa letu mahala pazuri?