Wabunge wetu na mabinti wa vyuo!

aliyenyang'anywa kaleta malalamiko hapa JF. Teh teh teh imekula kwako pole wee??? vaa shati la mikono mirefu wenzio kila wakiingiza mfukoni wanatoa noti wewe kitambaa cha makamasi pole wee.
 
tuwalaumu kina dada wasiojua ni nn kilichowapeleka chuo kwa kuwaka tamaa.Nakumbuka enzi nikiwa chuo UDSM vodacom ndio walianza rasmi 2000 baada ya buzz(mobotel-tigo) ukiwa na simu ya twanga unaonekana una hela na madada wengi sana walihongwa kwa simu hizo ngono kwenda mbele.
 
hao mabinti wanapewa fedha kidogo za mikopo ambayo ni kama tsh.5,000 kwa siku kwa ajili ya chakula na malazi na wabunge wamekataa kuwapigania waongezewe mikopo. Wabunge wao wanapewa fedha nyingi zaidi tsh.100,000 kwa siku na wabunge nao hawataki posho zao zipunguzwe.

Kwa hiyo kinachofanyika ni kuwa wanafunzi wanajiongezea posho zao za siku kwa njia hiyo na wabunge wanajipunguzia posho zao za siku kwa njia hiyo. Hapo panaeleweka?

na wanafunzi wakiume nao wanafuatwa na akina anna kilango, vicky kamata na wengineo au?
 
Sexual association for those concidered as adults remains to be a human right. The moral that ones holds in carrying that right is all different story. The truth of the matter is that our leaders including our parliamentarians have set their moral standards very low. What is discussed here is one of the areas that we all stand amazed to see people with public responsibility act with lack self control and behave like teenagers(Vijana walio Balehe). We observed what they frequently do at that club Eighty something in "Idodomya" and wonder....The most interesting part of it is that it seems that all of our leaders are behaving quite similarly when it comes to Sex...Is it a reflection of our collective behaviour? If not why as a community we do nothing about it? We know how to treat a thief what about a "fataki?". It is Sad
 
hizi habari ni za kweli kabisaaaaa, mi nna rafk yangu wa kike chuo cha serikal za mitaa hapo dodoma ananipa stori kwamba wabunge na viongoz wengine hawachez mbali nao.......wanawachukua wanachuo na hata watoto wa sekondari.
 
there is nothin we can do about it.. hao wanafunzi hawalazimishwi bana.. suala zima la utamu liko very tricky
 
hao mabinti wanapewa fedha kidogo za mikopo ambayo ni kama tsh.5,000 kwa siku kwa ajili ya chakula na malazi na wabunge wamekataa kuwapigania waongezewe mikopo. Wabunge wao wanapewa fedha nyingi zaidi tsh.100,000 kwa siku na wabunge nao hawataki posho zao zipunguzwe.

Kwa hiyo kinachofanyika ni kuwa wanafunzi wanajiongezea posho zao za siku kwa njia hiyo na wabunge wanajipunguzia posho zao za siku kwa njia hiyo. Hapo panaeleweka?

mimi sina neno hapo
 
Mie nipo hapa Dodoma,

Tangu waheshimiwa Wabunge waanze kuja Dodoma kwa kikao cha Bunge la Bajeti, kumekuwepo na ongezeko kubwa la mashangingi hasa nyakati za jioni kuja hapa chuo kikuu cha Dodoma na kuwachukua watoto na kuondoka nao. Wabunge wanawatuma madereva tu, wao hawaonekani!

Je hii ndo kazi ambayo wametumwa na wapiga kura wao? Na je kwanini wanawaharibia maisha watoto wa watu wakati wao wameoa na kuwa na familia zao? Kama wanahusudu sana Ngono kwanini wasije na wake zao?

Nawakilisha wadau!!!


Hili halijaanza leo mbona wandugu..nyie mnaouliza una ushahidi? na wale mnaosema madereva watakua wanawachukua wao..Hili suala nimeelezwa na ndugu yangu anayefanya kazi katika moja ya hoteli kubwa mjini Dodoma na alikuwa anajionea wabunge(si wote ila wengi wao ) wakijivinjari na hivyo vibinti..na si vibinti hivyo tu hata dada zetu,wake za watu hupandishwa magari kwenda kura raha na wabunge dodoma..anyway hili si la kulizungumzia sana..maana hata mitaani lipo na kama mtu alikuwa na tabia hizo kabla ya kuwa mbunge si rahisi akaacha kwa sababu ya ubunge,ingawa ni ukweli mtupu mbunge kama kiongozi hafai kuwa mfano mbaya kwa jamii anayoingoza...
 
Jamani hao wabunge wanakuja wachukua watoto wao, je kuna tatizo gani??? Una ushahidi gani kuwa ni washikaji zao???
 
Hapo ndo ninaposupport msimamo wangu wakutooa.haiwezekani niweke ndani ngoma ambayo imepitiwa na mibunge kibao.yaani badala ya shughuli za taifa kuwaunganisha wabunge pamoja regardless ya vyama vyao unakuta k*** ya mdada wa chuo ndo common factor inayowaunganisha
 
Hao mabinti wanapewa fedha kidogo za mikopo ambayo ni kama Tsh.5,000 kwa siku kwa ajili ya chakula na malazi na wabunge wamekataa kuwapigania waongezewe mikopo. Wabunge wao wanapewa fedha nyingi zaidi Tsh.100,000 kwa siku na wabunge nao hawataki posho zao zipunguzwe.

Kwa hiyo kinachofanyika ni kuwa wanafunzi wanajiongezea posho zao za siku kwa njia hiyo na wabunge wanajipunguzia posho zao za siku kwa njia hiyo. Hapo panaeleweka?


ahahahaha hii kweli mzeee...hapo wanatafuta Equilibrium...
 
Wanawaharibia maisha kivipi?,kwa uelewa wangu mtu akiwa chuoni ni mtu mzima so anajua anachofanya,pia hao viongozi nafikiri hawawakamati kwa nguvu hao mabinti,wanakuwa nao kwa maridhiano yao wenyewe?,au umenyang'anywa na mbunge?,mulaumu huyo msichana wako kuwa weak na kukuacha wewe na kumfuata mwenye nacho!


JK ameshaongea kuhusu mademu wanaopata mimba primary na sec kuwa ni viherehere vyao. Hata hao walioko vyuo wanafanya ngono na Vibabu vya mjengoni kwa sababu ya viherehere vyao.WANAPENDA RAHA SANA HAO MADEM
 
Ndio maana wanakomaaaaa na Posho zao ili kusaidia jamiii,na cunajuwa watoto wa kibongo wanavyo unga unga Kusoma..... Tuasubiria na waheshimiwa wa kike wa anze kuingia kwenye hz clg
 
waache wachapike tuu, kwani wewe inakuuma nini au umechapiwa demu wako? Gombea ubunge na wewe ule kiulaini siyo kulalamikia uwezo wa wanaume wenzako or else watu watahisi wewe si riziki.
 
walio na madem pande za dom angalien wazee unaweza ukakuta demu wako anamegwa na kibabu kama kingunge.Si unajua vibabu haviwezi mambo ya 6x6 lakn havijambo kukata mshiko. Utashangaa baada ya bunge dem hakutaki tena si kwa sababu ya majamboz lkn kwa sababu mshiko hadaki
 
Mie nipo hapa Dodoma,

Tangu waheshimiwa Wabunge waanze kuja Dodoma kwa kikao cha Bunge la Bajeti, kumekuwepo na ongezeko kubwa la mashangingi hasa nyakati za jioni kuja hapa chuo kikuu cha Dodoma na kuwachukua watoto na kuondoka nao. Wabunge wanawatuma madereva tu, wao hawaonekani!

Je hii ndo kazi ambayo wametumwa na wapiga kura wao? Na je kwanini wanawaharibia maisha watoto wa watu wakati wao wameoa na kuwa na familia zao? Kama wanahusudu sana Ngono kwanini wasije na wake zao?

Nawakilisha wadau!!!

Mi nnaye mjua kwa tabia za kuchukua wanafunzi ni magufuri labda awe ameacha
sasa
 
Back
Top Bottom