Mkuu Mungi,
W. J. Malecela hajui kuform heading. Tukimwambia atulie ajifunze anaanza kuleta story zake za kuishi Marekani miaka 20.
TUMBIRI
tumbiri@jamiiforums.com
thread hii inaelekea ilitupwa humu jamvini kwa kutoa ujumbe fulani vile. ukizingatia thread imeletwa na sisiem idumu manake wapinzani wajiandae kwa ngumi siku zijazo. ila wm usitegemee wapinzani TZ wakatupiana masumbwi hata siku moja.
hayo makundi yenu humo ndani ndo yataleta show siku moja mjengoni.
- Mjifunze kusoma between the lines kwamba hizi ndio tabia za upinzani kila mahali kugombea nonsense, yaani watu wazima kwenda kupigana ngumi kugombea lugha wewe huoni kwamba ni aibu kwa upinzani wa Dunia nzima?
- HUMU NDANI KUNA WATU MMELALA SANA USINGIZI! HEBU AMKENI MJIFUNZE KUSOMA BETWEEN THE LINES!
William.
- Mjifunze kusoma between the lines kwamba hizi ndio tabia za upinzani kila mahali kugombea nonsense, yaani watu wazima kwenda kupigana ngumi kugombea lugha wewe huoni kwamba ni aibu kwa upinzani wa Dunia nzima?
- Hawa wapinzani walijifanya na mapinduzi ya Orange, yamewafikisha wapi? Unaona ukisazoea magomvi na mapinduzi huwezi kuacha, sasa wewe kweli Great Thinker huwezi kuona another point hapa kwamba kama wapinzani wanapigana bungeni kwa ajili ya lugha tu, si ndio furaha ya watawala!
- HUMU NDANI KUNA WATU MMELALA SANA USINGIZI! HEBU AMKENI MJIFUNZE KUSOMA BETWEEN THE LINES!
William.
Lugha ni suala muhimu sana kwa utamaduni na maendeleo ya nchi. Hawa wabunge walichapana kwa kutetea matumizi ya lugha yao ya taifa dhidi ya vibaraka wanaotaka watumie lugha ya Kirusi.safi sana lugha tu tu watu wanatembeza mkono,,,,,bongo mafisadi wanadunda tu majukwaani tunawacheki