Sakata la kusimamishwa Mkurugenzi wa Tanesco limeingia hatua mpya.
Habari za uhakika zinasema baada ya viongozi wa Wizara ya Nishati na Madini kumgusa mtu wa Rostam na Ngeleja na kutishia maslahi ya vigogo hao na wengine wameapa kuusambaratisha kabisa uongozi wa Wizara.
Habari zinasema wabunge kadhaa wa CCM wameshalishwa mapesa na Zitto Kabwe ni mmoja wanaosadikiwa ni mwenye maslahi na yupo kwenye mkakati.
Habari za uhakika zinasema baada ya viongozi wa Wizara ya Nishati na Madini kumgusa mtu wa Rostam na Ngeleja na kutishia maslahi ya vigogo hao na wengine wameapa kuusambaratisha kabisa uongozi wa Wizara.
Habari zinasema wabunge kadhaa wa CCM wameshalishwa mapesa na Zitto Kabwe ni mmoja wanaosadikiwa ni mwenye maslahi na yupo kwenye mkakati.