Wabunge wasiwe wajumbe bodi za mashirika ya Umma

Kwa nini Uhasibu Ar. ina wajumbe 9 wakati bodi zingine zina wajumbe 5 au 6?

Ni kwa mujibu wa sheria?
 
Maria Kejo.....ahahaaa yu must be a new blogger.

Huyu yumo kwenye scandals nyingi, ndie mpitia mikataba yote ya serikali hapa nchini ana close relationship na EL na amedaiwa na Ruta (yule katibu wa wizara ya maji) kuwa alitaka kumhonga hela kwenye kesi ya IPTL.

Mama ana connections za kufa mtu, asset yake kubwa ni yeye mwenyewe na kuigawa. Anajua kucheza karata yake vizuri...

Hivi zile DATA au NONDOZ tulizomwaga za IPTL zipo wapi?

Mod naomba uziibue ili huyu Mjukuu mwana siasa afaidike kidogo.

FP
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete,
ameteua wenyeviti wa Bodi za Mashirika na Taasisi chini ya Wizara ya
Fedha na Uchumi kama ifuatavyo: -

1. Bodi ya TIB – Prof. William Lyakurwa
2. Bodi ya Chuo cha Uhasibu Arusha – Bibi Mwanaidi Mtanda
3. Bodi ya NBC Ltd – Dr. Mussa Assad
4. Bodi ya Twiga Bancorp Limited – Dr. Amon Y. Mbelle
5. Bodi ya Benki ya Posta – Dr. Lettice Rutashobya
6. Bodi ya Michezo ya Kubahatisha (Gaming Board of Tanzania)– Prof.
Hassa M. Mlawa

Uteuzi huu wa wenyeviti ulianza rasmi tarehe 14 Novemba, 2008.
Aidha, Waziri wa Fedha na Uchumi Mh. Mustafa Mkulo amewateua
wafuatao kuwa wajumbe wa Bodi wa Mashirika/Taasisi hizo.

Bodi ya TIB
1. Bw. Haruna Masebu
2. Mhe. Mgana I. Msindai (Mb)
3. Bibi Edwina Lupembe
4. Bw. Bedason Shallanda
5. Bw. Adatus V. Magere

Bodi ya Chuo cha Uhasibu Arusha
1. Bw. Patric Mwangunga
2. Dr. Suleiman Mohamed
3. Bibi Elipina Mlaki
4. Bw. Leonard Mususa
5. Mhe. Estherina Kilasi (Mb)
6. Prof. T. A. Satta
7. Dr. Clemence Tesha
8. Mhe. Felix Mrema (Mb)
9. Bw. Mugisha G. Kamugisha

Bodi ya NBC Ltd
1. Ponsiano Nyami (Mb)

Bodi ya Twiga Bancorp Limited
1. Mhe. Siraju Kaboyonga Juma (Mb)
2. Mhe. Abdallah Kigoda (Mb)
3. Mhe. Devota Likolola (Mb)
4. Mhe. Hulda S. Kibacha (Mb)
5. Bibi Mariam A. Nkumbi
6. Bw. Geofrey M. K. Msella

Bodi ya Benki ya Posta
1. Bibi Juliana Lema
2. Bw. Saidi M. Hussein
3. Bw. H. H. Mchangila
4. Bi. Bertha E. Mallogo

Bodi ya Michezo ya Kubahatisha (Gaming Board of Tanzania)
1. Bw. Dennis Muchunguzi
2. Bi. Suzan Mkapa
3. Bibi Maria Kejo
4. Mhe. Lucy Mayenga (Mb)
5. Mhe. Richard Ndassa ( Mb)

haya nisaidieni utampeleka nani mahakamani hapo at the moment huoni ni mchezo tu utakua wa kulalamika lalamika pumba kila siku. kuna mtu mmjoja katuma post ya kusema wabunge watenguliwe sehemu hizi kwa upande wangu ni kitu ambacho kilitakiwa kujadiliwa kisawasawa kwa sababu ni muhimu na ungekua mwanzo na tuelimishane nini kifanywe, kwa sababu watoke sehemu za hela na warudi kwenye Siasa ili waweze kujadili matatizo ya taifa. ukiwaweka kwenye hela si ndio unawapa tamaa ya kuiba sasa nani atakubali sheria ya mmoja apelekwe mahakamani si next anajua itakua yeye, ndio sababu nasemaga tunajua matatizo na walalamikaji wazuri lakini atutaki mbinu za kweli za kuya tatua matatizo ni kulalamika na historia ndefu ambazo hazi make sense at the moment wala azihusiani na njia ya kutatua matatizo.

Mungu Ibariki Tanznania
 
Mmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhh

hapo ndipo ninapoendelea kuipenda jf..........
 
Mkuu Invisible asante kwa hii kitu.Ntaitunza ili mwanangu aje kusoma mambo haya
 
Mkuu Invisible asante kwa hii kitu.Ntaitunza ili mwanangu aje kusoma mambo haya

Nafikiri wengi tunajisahau. Nimefurahi umenikumbusha kuwa hizi kumbukumbu zinatunzwa atiii. Sijui itatumika nguvu ya aina gani kuyasafisha majina ambayo kila kukicha yako kwenye kashfa.
 
ni asilimia ndogo sana ya watanzania walio-amka na kujua kuwa wabunge wanaowachagua kuwatetea wana ajenda ya kutetea matumbo yao tu. na wabunge wanalijua hilo ndio maana wanaendelea na kutetea matumbo yao tu.

mpaka pale watanzania watakapo amka .....tutegemee kuona trend hii ikidumu tena na tena
 
Amri ya kuwaondoa wabunge kwenye bodi za mashirika ya fedha inafaa kutekelezwa across the board kwa mashirika yote ya UMMA; kwani mashirika yote hayo yako answerable kwa Msajiri wa hazina.


Mimi nasema hiyo ni mwanzo mzuri sana. Maana maamuzi yalikuwa yatolewa kutokana na maslahi yao. Uwajibikaji ulikuwa haupo kabisa kwa kweli
 
Bunge likielekea ukingoni katika baadhi ya wizara tumeshuhudia kujirudiarudia kwa wajumbe wa bodi na kamati za mashirika au taasisi zinazosimamiwa na wizara mbalimbali.

Katika baadhi ya wizara utakuta mtu huyo huyo ni mjumbe wa bodi moja kwenye bodi nyingine ni mwenyekiti na kamati nyingine ni katibu. Nafasi zote ameteuliwa na waziri huyo [/COLOR]huyo na nafasi hizo hazijatokana na nafasi yake ya kazi.

Huku ni kubebana au ni kukusanya fedha za uchaguzi kwa mawaziri wanaoteua?
 
mfumo mbovuu wa kiuongozii huchocheaa hali hiyoo kujitokezaa.

Kukosekana kwa ETHICS katika kazi.
 
Kuna kitu kinanisumbua sielewi kabisa na ninaomba mnijuze.
Hivi ni criteria ipi inatumika kuteua wajumbe wa boards za mashirika ya uma. Mfano TPA, TTCL, TANESCO, TANAPA, NCAA, CRDB, NHC, AICC nk.

Wengi wa wajumbe naonaga huwa ni wanasiasa especially wabunge. Je ni kwa maana wabunge wanawakilisha wana nchi hivyo inabidi wajue kinacho endelea kwenye mashirika ya uma? Na kama ubunge ni kigezo mbona ni wabunge wa CCM tu na siyo toka vyama vingine vya upinzani pia.

Asanteni
 
Yes,ni katika zoezi la kurudisha pesa zilizotumika ktk kampeni.kwani kila bodi ikikaa ni kitita kikubwa ,pia maamuzi makubwa ya tendaz etc.
in theory wabunge wapo kulinda maslahi ya umma ktk mashirika hayo ya umma.
Jiulize Je wabunge wangapi wanachangia bungeni kila bunge likikaa,jibu ni wachache mmno,sasa ktk mashirika ya umma its the same case,huwa wanawakilisha maslai binafsi
 
Kigezo ni matakwa ya rais kwa ushauri wa Waziri husika, kuna wazee waliopewa posts hizi kwa sababu walikuwa wshkaji tu na mawaziri / rais .

Mtu anapewa u board member katika shirika ambalo hana uzoefu nalo hata kwa mbali.
 
I dont think if experience is an issue, wao si watendaji wa shughuli za kila siku, wao ni decission makers lakini implementation inafanywa na watendaje. So experience could not be an issue here. You can decide basing on technical advise given by executives.
 
I dont think if experience is an issue, wao si watendaji wa shughuli za kila siku, wao ni decission makers lakini implementation inafanywa na watendaje. So experience could not be an issue here. You can decide basing on technical advise given by executives.

Kwa hiyo ndiyo umpe darasa la nne asiye na uwezo kama Kitwana Kondo uenyekiti wa bodi sehemu nyeti kama bandari siyo ?
 
Sidhani kama kuna kigezo/vigezo zaidi ya waziri husika kwa mamlaka aliyopewa kuamua kuteua wajumbe kwa kuzingatia au kutozingatia ushauri wa wasaidizi wake.
 
Back
Top Bottom