Jungumawe
JF-Expert Member
- May 2, 2009
- 245
- 74
Kwa vile watawala wa nchi hii inaonekana ni kumkomoa mtu wa hali ya chini, Basi tukubaliane hata wabunge wote wasipate mafao yao kila baada ya miaka mitano mpaka wafikishe miaka 85, after all wanadai kazi za ubunge si kubeba zege bali kusinzia tu bila kutumia akili.Hata kama nimetumia maneno ya kuudhi sifuti maneno yangu​