Wabunge Wasiokuwa na Tija kwa Majimbo

Mafilili, huchoki tu?? Wenzako wote wanalipwa na CODE QX, hebu tuambie wewe una maslahi gani huko?? Unaijua hii network kwanza?? Wewe shangaa tu na gamba lako.
 
jimbo zima la moshi vijijini juzi lilihamia chadema kutokana na mbunge wao kutajwa kwenye ripoti ya cig na kama umeona taarifa ya habari itv leo ndesa alikuwepo huko na kutangaza kuanzisha mfuko wa kusaidia kesi za kubambikiwa za viongizi wa cccm dhidi ya chadema.
pia leo nilikuwa tanga mjini wanasema nundu watampiga chini kwani hana lolote.
 
Watanzania wenzangu nilikuwa na ziara katika majimbo ya Kawe, Ubungo, Mbeya Mjini, Iringa Mjini, Rombo, Singida Mashariki, Hai na Kigoma Kaskazini nimekutana na mambo yasiyoridhisha katika halmashauri husika. Wabunge wao wameshindwa kukaa chini ili kusikiliza kero za wananchi na kuzitafuatia ufumbuzi.
Wananchi wa maeneo hayo wamesema "wanajuta kuwachagua wabunge ambao wawapo bungeni wanashikiria maslahi ya chama zaidi kuliko matakwa ya wapiga kura". Mbaya zaidi wabunge wao wanatumia muda mwingi kuhamasiha wananchi washiriki maandamano badala ya kuwahimiza wafanye kazi ili wajiletee maendeleo. Wanachadema muwe wawazi kuwaambia wabunge wenu WABADILIKE!!


Hao wabunge uliowataja wanafanya kazi ya Kuikomboa Tanzania kwa ujumla na si majimbo yao tu... Ili kuwasaidia watu ambao si wavivu wa kusoma waangalie Michango ya Wabunge hao kwenye website ya Bunge.. Ili ujue ni jinsi gani wanafanya kazi
 
Back
Top Bottom