lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Kwa kawaida kwenye nchi zilizopiga hatua ya kidemokrasia, wanafunzi wa vyuo ndo waletaji wakubwa wa mabadiliko katika mwenendo wa kisiasa wa nchi. Huku kwetu wameshaisoma hiyo ndo mana mambo yakianzishwa vyuoni inatumika nguvu kubwa sana kuizima...
Ni kweli?