Wabunge waomba Bunge la Dharura kama JK asipowawajibisha mawaziri

Mbona mlisema Raisi yuko Dodoma na sasa mnasema hana Taarifa?

Kuna kusikia na kuna kupewa taarifa. Unayyaona na kuyasikia kwenye vyombo vya habari sio yote.

Jee, unajuwa vikao vya CCM bungeni vinaongea nini? Jee, unajuwa kamati zinapokutana zinaongea nini? Jee, unajuwa ripoti zingine zinazomfikia Rais zinaongea nini?

Fikiri. Sio kila unachoaminishwa na ndicho kilicho. Tanzania kuna wachawi, kuna wenye uchu, kuna wanaorogana kwa vyeo, kuna fitina kuna majungu kuna kila aina ya maovu yanayotendeka kwenye ngazi hata za chini seuse za uongozi.

Njia moja rahisi ya kuchafua mtu kwa sasa ni kuiumiza character yake. Hata bila ushhidi unaweza ukasema lolote na Watanzania wengi walivyo wajinga wanaamini chochote wanachoambiwa. Hawajui kupima wala kuchunguza. Ni wavivu wa kufikiri, sana tena sana.
 
hujui kuwa hiyo ndio staili yake ya kukwepa majukumu na lawama? Anajaribu kujikipu bize kwa mambo yasiyokuwa na tija. Anajaribu kutengeneza sababu kuwa anachelea kuwawajibisi makuwadi wake huku akisikilizia upepo. Kama umemshtukia huyu jamaa huwa anaogopa kuwa wa kwanza kufanya maamuzi kutokana na uwezo wake mdogo. Kifupi ni kwamba pale IKULU hapakustahili kukaliwa na mtu Kilaza hv. Matokeo yake ndio haya tunayoshuhudia sasa.

Halafu huyu jamaa kila anapokuwa nje lazima kitu kibume hapa nchini...
 
hivi kikwete ni mwenyekiti wa kamati ya mazishi afrika? Kutokana na uzito wa matatizo ya nchi yake alitakiwa amtume mwakilishi, mbona nchi zingine zimetuma balozi zao? Kwanini iwe ngumu kwa jk?

mkuuu hii vp tena alichaguliwa lini!??
 
Hivi Kikwete ni mwenyekiti wa kamati ya mazishi afrika? Kutokana na uzito wa matatizo ya nchi yake alitakiwa amtume mwakilishi, mbona nchi zingine zimetuma balozi zao? Kwanini iwe ngumu kwa jk?

Mkuu Mungi hayo ndiyo maeneo yake ya kuuza sura,si unajua ni mtu wa kujishebedua sana ?
 
Hivi Kikwete ni mwenyekiti wa kamati ya mazishi afrika? Kutokana na uzito wa matatizo ya nchi yake alitakiwa amtume mwakilishi, mbona nchi zingine zimetuma balozi zao? Kwanini iwe ngumu kwa jk?

.
Mganga wake hajamwagiza la kufanya kuhusu sakata hili. Mtamsikia tu atakavyokuja na gear kubwa mwishoni mwa mchezo kama aliekurupushwa usingizini, hii itakuwa baada ya kupewa go on na Dk.
.
 
anawania africa funeral awards ndio maana hakosi misiba!
 
Hivi Kikwete ni mwenyekiti wa kamati ya mazishi afrika? Kutokana na uzito wa matatizo ya nchi yake alitakiwa amtume mwakilishi, mbona nchi zingine zimetuma balozi zao? Kwanini iwe ngumu kwa jk?

JK = Janga la Kitaifa
 
Wabunge wa JMT wametoa maonu yao iwapo leo Spika wa Bunge hataipangia na kuipokea hoja ya Zitto ya kumwajibisha PM kwa dhana nzima ya uwajibikaji na kulindana.

Wameomba kuwepo na bunge la dharura kulingana na sheria na taratibu za bunge kwa sababu kuwaacha waendelee mpaka vikao vijavyo ni kuliua taifa.

Pia wabunge hao wanadai ni unafiki na uwongo kuwa rais hana taarifa ya mambo yanayojiri bungeni kama hajui iweje ajibu akiwa Malawi kama hana taarifa?

hana taarifa! nyumba inaungua nae anaiona harafu anasema hajui kama nyumba yake inaungua,jamani kweli hapa pana rais?je kwa mtu kama huyo hapa maendeleo yapo kweli hasa kwa kmtawala asiyejua tatizo la anapotawala? huyu jamaa kila kitu yeye hajui, je ni lipi alijualo?
 
Mi nadhani hatua madhubuti ichukuliwe dhidi yake, kama siyo wabunge basi umma wa watanzania wajitokeze kupinga huu utawala mbovu wa serikali ya kikwete

Mungi na wana-JF, tafsiri yangu ni ndogo sana. JK hamtaki Pinda.

Kwa kuwatetea mawaziri anamweka Pinda kwenye kona ya ama ajiuzulu au asubiri rehema kura za 'no confidence' kama zitatosha au la. Si kwamba JK halijui hilo ila anaposema kuwa serikali haiwezi kushinikizwa hii ni pamoja na kumwambia Pinda kuwa hawezi kundesha Caucus meeting kumshinikiza. Kwa hiyo lolote litakalompata ni la kwake yeye Pinda.
 
hana taarifa! nyumba inaungua nae anaiona harafu anasema hajui kama nyumba yake inaungua,jamani kweli hapa pana rais?je kwa mtu kama huyo hapa maendeleo yapo kweli hasa kwa kmtawala asiyejua tatizo la anapotawala? huyu jamaa kila kitu yeye hajui, je ni lipi alijualo?

nasikia ni bingwa wa kula 'KEI'! tehe tehe tehe! long live our prezidar! realy pathetic!
 
Mungi na wana-JF, tafsiri yangu ni ndogo sana. JK hamtaki Pinda.

Kwa kuwatetea mawaziri anamweka Pinda kwenye kona ya ama ajiuzulu au asubiri rehema kura za 'no confidence' kama zitatosha au la. Si kwamba JK halijui hilo ila anaposema kuwa serikali haiwezi kushinikizwa hii ni pamoja na kumwambia Pinda kuwa hawezi kundesha Caucus meeting kumshinikiza. Kwa hiyo lolote litakalompata ni la kwake yeye Pinda.

Na kuna kila dalili anataka kumrudisha Lowassa
 
nahisi alisaini MoU hao mawaziri waendelee kuongoza regardless of the prevailing situation including hardship sitution to the citizenry caused by the same
 
Hivi Kikwete ni mwenyekiti wa kamati ya mazishi afrika? Kutokana na uzito wa matatizo ya nchi yake alitakiwa amtume mwakilishi, mbona nchi zingine zimetuma balozi zao? Kwanini iwe ngumu kwa jk?

HII IMEKAA VYEMA KWELI jK NI MKUU WA MAAFA KWA AFRIKA
 
JK inaonekana anaona ni muhimu sana kuhudhuria mazishi kuliko madudu yanayofanywa na wateule wake kweli mjinga ni mjinga tu hata kama utamwambia hii ni "a" hawezi kuisoma maana akili yake iko maficho
 
"@zittokabwe Kanuni 27(4) Endapo manufaa ya Taifa yatahitaji....Spika anaweza, baada ya kushauriana na Kamati ya Uongozi....kuliita Bunge 'mapema' zaidi"

Hayo ni maneno ya Zitto on tweetter.
 
I understand Mr president ataki kuona serikali inaendeshwa kwa shinikizo but anasahau hii nchi siyo yeka wabunge ni wawakilishi wa wananchi siyo wa kuwapuuza. Wanawakilisha mawazo ya wananchi ambao tumempa dhamana ya kuendesha nchi. mimi namsubiri Mh Pinda nione atasemaje badae. serikali imeshikwa pabaya time, tena kama mawaziri wanawaponda na naibu wao
 
Back
Top Bottom