dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Wabunge wa JMT wametoa maonu yao iwapo leo Spika wa Bunge hataipangia na kuipokea hoja ya Zitto ya kumwajibisha PM kwa dhana nzima ya uwajibikaji na kulindana.
Wameomba kuwepo na bunge la dharura kulingana na sheria na taratibu za bunge kwa sababu kuwaacha waendelee mpaka vikao vijavyo ni kuliua taifa.
Pia wabunge hao wanadai ni unafiki na uwongo kuwa rais hana taarifa ya mambo yanayojiri bungeni kama hajui iweje ajibu akiwa Malawi kama hana taarifa?
Wameomba kuwepo na bunge la dharura kulingana na sheria na taratibu za bunge kwa sababu kuwaacha waendelee mpaka vikao vijavyo ni kuliua taifa.
Pia wabunge hao wanadai ni unafiki na uwongo kuwa rais hana taarifa ya mambo yanayojiri bungeni kama hajui iweje ajibu akiwa Malawi kama hana taarifa?