Wabunge wangapi wa CHADEMA hawakuhudhuria maandamano jana?

Malumbano meeeengiii!
Swali ni nani hakuwepo full stop!!!!
Toeni majibu kama mnajua acheni porojo na ubabaishaji usio na m
Mnakuwa kama hamjaenda shule
Jibu ndio au hapana!unaanza oooh! unajua! acheni ubabaishaji leteni majibu tujue

Muuliza swali ameanza na "bunio baya" wasiokuwepo maanake....!! hiyo ndo imeharibu thread yake. It seems ana JAMBO nyuma ya ukweli anaoutafuta, ambalo ni maji taka!!!
 
Sikujua kuna vijana wengine kama vichaa yaana wanakaa wakiishabikia ccm inayotufilisi..........duh poleni kwa kushabikia upumbavu

Sasa umekaa unasubiri vya bure badala ya kufanya kazi , ccm inakufilisi au unajifilisi mwenyewe ?
 
Malumbano meeeengiii!
Swali ni nani hakuwepo full stop!!!!
Toeni majibu kama mnajua acheni porojo na ubabaishaji usio na maana
Mnakuwa kama hamjaenda shule
Jibu ndio au hapana!unaanza oooh! unajua! acheni ubabaishaji leteni majibu tujue


sahhi mkuu
 
kwa jinsi vyombo vya habari vilivyo ripoti ni vigumu kuwaona wabunge wote na sitegemei kama wabunge wote watakuwepo huko.....Haiwezekani Wenje asiwepo ila inaelekea kuna kitu unataka kukisikia.....[/


Viongozi wa chadema wako makini ni ,wanjua wanacho kifanya ukumbuke kuwa maandamano yamepangwa kufanyika nchi nzima taarifa sahihi za ndani ni kwamba baadhi ya wabunge wa chadema watashiriki kwenye kanda nyingine kunabaadhi ya wabunge walishiriki kwenye maandamano arusha safari hii wamepumzika ingawa viongozi wa juu wa chama hicho watashiriki kila maandamano siku kuzunguka nchi nzima wala usiumize kichwa kama ulikuwa nania ya kukichafua chama hicho basi umekwama na kama umetumwa na wandowans kawambie uchawi wao umekwama ni lazima tuiwafurumushe .
 
Sema unalotaka kusema mkuu!

Tatizo pale mwanza hawakuweka attendance register, mbona tungekuwa tushapata majibu yako kutoka kwa kiranja!
 
Kama unataka majina yao ungewahi jana pale Furahisha na daftari halafu ungeitisha rall call. Unatusumbua tukupe majina yao wewe nani halafu tukishakupa uyafanyie nini? Haya tulikuwepo Mza na hatukupi hayo majina sasa. Fanya unachotaka. Hatukuenda mza kujua nani amehudhuria na nani hakufika, sicho kilichotupeleka.
 
kwa jinsi vyombo vya habari vilivyo ripoti ni vigumu kuwaona wabunge wote na sitegemei kama wabunge wote watakuwepo huko.....Haiwezekani Wenje asiwepo ila inaelekea kuna kitu unataka kukisikia.....

Viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema ni watu makini sana ,utata unao kusumbua kwakuwa umetumwa na mafisadi wamiliki dowansi sasa na kujuza kuwa habari za kweli na sahihi kutoka ndani ya wa husika ni kwamba baadhi ya wabunge hawakushiriki ni kwa sababu ya utaratibu ulipo kuwa maandamano hayo yanatarajiwa kufanyika nchi nzima hivyo watafanya kwa zamu wa bunge hao, ingawa viongozi wa kitaifa akiwemo mwenyekiti na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani mh Mbowe na Dr wa kweli Slaa na wengine watashiriki kila kona ya Tanzania.

Sasa huo ndiyo ujumbe maana wewe unaonesha umetumwa na jijini kubwa ccm na wafuasi wa jini hilo wakina Rostam Aziz ,makamba .na wengine wengi.

Labada kwa taarifa tu kwamba Rostom yeye hujifanya mbambe na kujifanya ni mtanzania nrangi ya ngozi yake tu na tabia zake inamwondolea sifa ya kuwmtanzania hata kama katiba yetu inakataza ubaguzi tunamwambia ukweli Rostamu tumembagua tumemdharau sio mtanzania hata angelia machozi yageuke kuwa damu hatumtambuai aende kwao Irani yeye ni mwajemi ama canada.shinda mshikaji wake kikwete na tunajua kuwa Rostam ni muoga sana ana ogopa kuthibitisha uoga wake ni kitendo cha yeye kutojitokeza kifua mbele katika kila kampuni anazomiliki anaogopa kupigwa mawe na wabongo sasa yatosha ametuibia vyakutosha amefanya vitendo vya kijasusi na majausi wenzake kutoka huko Iran wakiwa wanakutana katika vituo vyo vikuu viwili kituo kimoja nchini afrika kusini na nchini ujerumani anafanya siri sana kila akiondaka hapa nchi huzua sababu mbali mbali ikiwemokwamba anapeleka mgojwa .
sawa sasa nguvu yaumma iliyotumika Tunisia ,misri ,na sasa Libya ndiyo imesogea tanzania
kwanza tunakwenda dodoma bungeni wakati bunge lijalo litakapo kutana kwa mara nyingine huko tunakwenda kumzomea Rostam Aziz ,kazi kubwa nikumzomea tuu hiyo itakuwa hatua ya kwanza tumejipanga kwa awamu hadi bunge litakampo amua kumtoa amaakimbiye nchi mwenyewe tutaona ubabe wake tunasema rostamu hatakiwi aondoke kama hana kwao akatafute hifadhi nchi nyingine huko duniani.
 
Freeman hajenda shule, ni bepar,i mbabaishaj, mkabila, mdini!
Kafulila kapata ubunge (mafanikio) baada ya kutoka CHADEMA!

Majambazi wa ccm hamuusiki kabisa na hii quote,kaeni kimya kabisa mmeitia aibu nchi yetu.
 
Yule ambaye hukumuona ndiye hakuwepo, do not poison people with such polemic questions which are not worthwhile to us. Kama unajua kuona wabunge wa ccm kwenye kula na kunywa, hutaweza kuonna wabunge wa cdm.
 
Wengi tu. Kuna Wabunge wengi Chadema ambao ni makini na hawapendi hizo siasa za fujo na machafuko.

Wenye akili wako majimboni kwao wakitatua matatizo ya wapiga kura wao, haya maandamano hayana tija, wataandamana toka Namanga mpaka Tunduma na yataendelea mpaka mwaka 2015.
 
Malumbano meeeengiii!
Swali ni nani hakuwepo full stop!!!!
Toeni majibu kama mnajua acheni porojo na ubabaishaji usio na maana
Mnakuwa kama hamjaenda shule
Jibu ndio au hapana!unaanza oooh! unajua! acheni ubabaishaji leteni majibu tujue

ukisikia m2 anata taja shule ujue kasoma shule kweli,sana sana form2 na form4 ndo msemo wao huo. Hongera mkuu. Ila sisi hatujajibu hoja kwa kutaja nani yupo,nani hayupo. Tumezingatia thread,na thread yake haijakaa kikujibiwa kwa nani yupo nani hayupo na kumpinga Mh.MBOWE. Tayari thread ni mjadala wala si kutaja majina! Ila wasomi wengi kama wewe huwa mnasoma mwanzo au mwisho mwa barua na kuandaa majibu,hata hamuangalia mantiki ya swali. Siku njema aliyeenda shule.
 
WALIOKUWA MWANZA NIJIBUNI NATAKA KUANZA KUWAHESABIA SIKU AMBAO WANAMPINGA FREEMAN AIKAELI MBOWE WATAOPNDOKA WOTE

kwa miguu yao wenyewe kama Kafulila
Mambo mengine sio ya kuulizana humu kama ni matured,huwezi kuwajaza wote hapo wasio hudhuria wanajulikana na kwa kuwa ni WABUNGE wanaweza kuwa walikuwa na majukumu yanayo hitji presence yao
 
Ukweli sio lazima wote wafike. Mi nadhani itategemea na Ratiba ya mtu, na kutofika kwake hakiwezi kuwa kigezo cha usaliti. Nilitegemea kuendelea kujuzana yaliyojili huko MZA na sio kuhoji nani na nani hawakufika. Chadema sio Azam Bwana kwamba bila Ngassa hatuchezi, nafikiri kwa wapiganaji wa kweli hata dr. Slaa asingekwenda kule bado mambo yangeenda kama yalivyopangwa. Wanacdm wenzangu tupeane zaidi akili na mbinu za kuikomboa nchi yetu na watu wetu, na si kujadili mambo ya watu binafsi. Go go go CHADEMA.
 
Back
Top Bottom