mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
Leo nimechoma moto kadi yangu ya CCM...................inatosha......! Wabungo meno yote nje na 330,000 kwa siku, wakati wananchi hawana daktari wala dawa wanakufa..........! jamani.......!! na ilaaniwe CCM