Elections 2010 Wabunge wanaosubiri kuapishwa...

PapoKwaPapo

JF-Expert Member
Jun 5, 2008
380
45
Hawa ni baadhi tu ya wabunge wa CHADEMA ambao wanasubiri kuapishwa....

a)Matilda komu
b)Halima Mdee
C)John Mnyika
d)zitto Kabwe
e)Ndessa pesa
f)Tindu Lissu
Mwita Mwikabe
Mboye........na wengine wengu ahhhhh bila kumsahau mwana SUGU..
 
Kwani uchaguzi umeshafanyika? Lini? Wameshinda kwa kura ngapi? Vipi kuhusu wapinzani wao?:confused2:
 
Hawa ni baadhi tu ya wabunge wa CHADEMA ambao wanasubiri kuapishwa....

a)Matilda komu
b)Halima Mdee
C)John Mnyika
d)zitto Kabwe
e)Ndessa pesa
f)Tindu Lissu
Mwita Mwikabe
Mboye........na wengine wengu ahhhhh bila kumsahau mwana SUGU..

Statistics? Je wakishinda kwa kura nyingi na wasimamizi wa vituo wasipowatangaza?
 
I have a dream.....let's get ready for a little suprise......letsutilise the only forest reserve in dar......the rest will be history..nani anataka Kuwa sniper? Professional sniper...meeeen!
 

Statistics? Je wakishinda kwa kura nyingi na wasimamizi wa vituo wasipowatangaza?
mwaka hu lazima tushikane mashati.... ubungo 2005 Mnyika alishinda ila akachezewa rafu, dis tym lazima kieleweka watake wasitake..
wakimwaga mboga si twamwaga ugali.....
Haki haiombwi, inatafutwa......MAALIMU SEIF
 
Hawa ni baadhi tu ya wabunge wa CHADEMA ambao wanasubiri kuapishwa....

a)Matilda komu
b)Halima Mdee
C)John Mnyika
d)zitto Kabwe
e)Ndessa pesa
f)Tindu Lissu
Mwita Mwikabe
Mboye........na wengine wengu ahhhhh bila kumsahau mwana SUGU..

hapo atlist Mnyika!! atajitahidi number 2 hao wengine sahau... hehe na huyu mwana bongo flava soon utasikia karudi nyumbani kwa baba "ccm"

 
Mmh,SUGU!
Ukilinganisha kwa uelewa na uwezo wa kupambanua mambo(weledi) kati ya Profesa Maji Marefu na Sugu,NADHANI PROFESA ANA UWEZO ZAIDI.
kwa SUGU MMECHEMSHA!
 
Hawa ni baadhi tu ya wabunge wa CHADEMA ambao wanasubiri kuapishwa....

a)Matilda komu
b)Halima Mdee
C)John Mnyika
d)zitto Kabwe
e)Ndessa pesa
f)Tindu Lissu
Mwita Mwikabe
Mboye........na wengine wengu ahhhhh bila kumsahau mwana SUGU..
Kwani wameshatangazwa na Tume ya taifa ya Uchaguzi? jamani tuwe serious katika mabo haya huu mzahazaha ndio unaotuletea matatizo haya tuliyo nayo. watu wataacha kwenda kupiga kura kwa kujua tayari wabunge wameshapatikana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom