Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Nakerwa sana na jinsi baadhi ya wabunge wanavyopoteza muda pindi wanapopewa nafasi ya kuchangia bungeni, utamsikia mbunge akizunguka zunguka bila sababu za msingi.............
Asante sana Mh. Spika kwa kuniona angalau na mimi niweze kuchangia hoja hii.
Kwanza kabisa nampongeza Rais wetu mpendwa Jakaya Kikwete kwa kuchaguliwa kwake kwa kishindo mara ya pili.
Pili nakupongeza wewe binafsi kwa kuchaguliwa kwako kuwa Spika umeweka historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika Tanzania.
Tatu nawapongeza wabunge wote kwa kuchaguliwa tena, hii inadhirisha kuwa wananchi bado wana imani nasi.
Bila kusahau kujipongeza mimi binafsi kwa kuchaguliwa kwangu hii inatokana na maendeleo niliyowaletea wananchi wa jimbo langu.
Mh. Spika nitakuwa sina fadhila kwa familia yangu hasa mai waifu wangu nisipomtaja kwa jinsi alivyokuwa bega kwa bega kufanikisha ushindi wangu.
Mwisho Mh. Spika sintawasahau wapigakura wangu kweli wameonyesha imani kwangu najua wengi wananiangalia kwenye TV ninavochangia sasa.
Kabla ya kuuliza swali Mh. Spika naomba nitambue uwepo wa wageni wangu waliolitembelea bunge lako tukufu leo
Wa kwanza ni jirani yangu Mzee Mwanakijiji yeye ni mmoja wa waliofanikisha ushindi wangu hakulala usiku na mchana hadi matokeo yalipotangazwa.
Wa pili ni binamu wangu huyu mtoto aliniambia anapenda sana kuwa mbunge ndio maana leo kaja kujifunza jinsi mjomba wake anavyochangia
Mh. Spika najua muda wangu karibu kwisha lakini sasa nakwenda moja kwa moja kwenye swali langu la msingi.
Unajua Mh. Spika wapinzani wetu kazi yao ni kupinga kila kitu bila kujali masilahi ya taifa kwanza.........makofi kwa wabunge.........
(Spika anaingilia kati)...............una dk moja imebaki..............Oopss..........
Nashukuru Mh. Spika kwa taarifa yako nilikuwa na mengi sanaaaa kwa ajili ya wapiga kura wangu ila muda hautoshi
Swali langu hivi lile daraja litaisha kabla ya kampeni za 2015?
Asante sana Mh. Spika kwa kuniona angalau na mimi niweze kuchangia hoja hii.
Kwanza kabisa nampongeza Rais wetu mpendwa Jakaya Kikwete kwa kuchaguliwa kwake kwa kishindo mara ya pili.
Pili nakupongeza wewe binafsi kwa kuchaguliwa kwako kuwa Spika umeweka historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika Tanzania.
Tatu nawapongeza wabunge wote kwa kuchaguliwa tena, hii inadhirisha kuwa wananchi bado wana imani nasi.
Bila kusahau kujipongeza mimi binafsi kwa kuchaguliwa kwangu hii inatokana na maendeleo niliyowaletea wananchi wa jimbo langu.
Mh. Spika nitakuwa sina fadhila kwa familia yangu hasa mai waifu wangu nisipomtaja kwa jinsi alivyokuwa bega kwa bega kufanikisha ushindi wangu.
Mwisho Mh. Spika sintawasahau wapigakura wangu kweli wameonyesha imani kwangu najua wengi wananiangalia kwenye TV ninavochangia sasa.
Kabla ya kuuliza swali Mh. Spika naomba nitambue uwepo wa wageni wangu waliolitembelea bunge lako tukufu leo
Wa kwanza ni jirani yangu Mzee Mwanakijiji yeye ni mmoja wa waliofanikisha ushindi wangu hakulala usiku na mchana hadi matokeo yalipotangazwa.
Wa pili ni binamu wangu huyu mtoto aliniambia anapenda sana kuwa mbunge ndio maana leo kaja kujifunza jinsi mjomba wake anavyochangia
Mh. Spika najua muda wangu karibu kwisha lakini sasa nakwenda moja kwa moja kwenye swali langu la msingi.
Unajua Mh. Spika wapinzani wetu kazi yao ni kupinga kila kitu bila kujali masilahi ya taifa kwanza.........makofi kwa wabunge.........
(Spika anaingilia kati)...............una dk moja imebaki..............Oopss..........
Nashukuru Mh. Spika kwa taarifa yako nilikuwa na mengi sanaaaa kwa ajili ya wapiga kura wangu ila muda hautoshi
Swali langu hivi lile daraja litaisha kabla ya kampeni za 2015?