Wabunge wanaopoteza muda hawafai-Useless MPs

Luteni

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
2,274
301
Nakerwa sana na jinsi baadhi ya wabunge wanavyopoteza muda pindi wanapopewa nafasi ya kuchangia bungeni, utamsikia mbunge akizunguka zunguka bila sababu za msingi.............

Asante sana Mh. Spika kwa kuniona angalau na mimi niweze kuchangia hoja hii.

Kwanza kabisa nampongeza Rais wetu mpendwa Jakaya Kikwete kwa kuchaguliwa kwake kwa kishindo mara ya pili.

Pili nakupongeza wewe binafsi kwa kuchaguliwa kwako kuwa Spika umeweka historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika Tanzania.

Tatu nawapongeza wabunge wote kwa kuchaguliwa tena, hii inadhirisha kuwa wananchi bado wana imani nasi.

Bila kusahau kujipongeza mimi binafsi kwa kuchaguliwa kwangu hii inatokana na maendeleo niliyowaletea wananchi wa jimbo langu.

Mh. Spika nitakuwa sina fadhila kwa familia yangu hasa mai waifu wangu nisipomtaja kwa jinsi alivyokuwa bega kwa bega kufanikisha ushindi wangu.

Mwisho Mh. Spika sintawasahau wapigakura wangu kweli wameonyesha imani kwangu najua wengi wananiangalia kwenye TV ninavochangia sasa.

Kabla ya kuuliza swali Mh. Spika naomba nitambue uwepo wa wageni wangu waliolitembelea bunge lako tukufu leo

Wa kwanza ni jirani yangu Mzee Mwanakijiji yeye ni mmoja wa waliofanikisha ushindi wangu hakulala usiku na mchana hadi matokeo yalipotangazwa.

Wa pili ni binamu wangu huyu mtoto aliniambia anapenda sana kuwa mbunge ndio maana leo kaja kujifunza jinsi mjomba wake anavyochangia

Mh. Spika najua muda wangu karibu kwisha lakini sasa nakwenda moja kwa moja kwenye swali langu la msingi.

Unajua Mh. Spika wapinzani wetu kazi yao ni kupinga kila kitu bila kujali masilahi ya taifa kwanza.........makofi kwa wabunge.........

(Spika anaingilia kati)...............una dk moja imebaki..............Oopss..........

Nashukuru Mh. Spika kwa taarifa yako nilikuwa na mengi sanaaaa kwa ajili ya wapiga kura wangu ila muda hautoshi

Swali langu hivi lile daraja litaisha kabla ya kampeni za 2015?
 
Huyo lazima atakuwa mbunge kutoka CCM au kwa mbali labda CUF, too-li-ki-to-to !
 
Nakerwa sana na jinsi baadhi ya wabunge wanavyopoteza muda pindi wanapopewa nafasi ya kuchangia bungeni, utamsikia mbunge akizunguka zunguka bila sababu za msingi.............

Asante sana Mh. Spika kwa kuniona angalau na mimi niweze kuchangia hoja hii.

Kwanza kabisa nampongeza Rais wetu mpendwa Jakaya Kikwete kwa kuchaguliwa kwake kwa kishindo mara ya pili.

Pili nakupongeza wewe binafsi kwa kuchaguliwa kwako kuwa Spika umeweka historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika Tanzania.

Tatu nawapongeza wabunge wote kwa kuchaguliwa tena, hii inadhirisha kuwa wananchi bado wana imani nasi.

Bila kusahau kujipongeza mimi binafsi kwa kuchaguliwa kwangu hii inatokana na maendeleo niliyowaletea wananchi wa jimbo langu.

Mh. Spika nitakuwa sina fadhila kwa familia yangu hasa mai waifu wangu nisipomtaja kwa jinsi alivyokuwa bega kwa bega kufanikisha ushindi wangu.

Mwisho Mh. Spika sintawasahau wapigakura wangu kweli wameonyesha imani kwangu najua wengi wananiangalia kwenye TV ninavochangia sasa.

Kabla ya kuuliza swali Mh. Spika naomba nitambue uwepo wa wageni wangu waliolitembelea bunge lako tukufu leo

Wa kwanza ni jirani yangu Mzee Mwanakijiji yeye ni mmoja wa waliofanikisha ushindi wangu hakulala usiku na mchana hadi matokeo yalipotangazwa.

Wa pili ni binamu wangu huyu mtoto aliniambia anapenda sana kuwa mbunge ndio maana leo kaja kujifunza jinsi mjomba wake anavyochangia

Mh. Spika najua muda wangu karibu kwisha lakini sasa nakwenda moja kwa moja kwenye swali langu la msingi.

Unajua Mh. Spika wapinzani wetu kazi yao ni kupinga kila kitu bila kujali masilahi ya taifa kwanza.........makofi kwa wabunge.........

(Spika anaingilia kati)...............una dk moja imebaki..............Oopss..........

Nashukuru Mh. Spika kwa taarifa yako nilikuwa na mengi sanaaaa kwa ajili ya wapiga kura wangu ila muda hautoshi

Swali langu hivi lile daraja litaisha kabla ya kampeni za 2015?
Mmojawapo atakuwa huyu

komba-auchapa-3.jpg
 
Yaani Luteni upo kama wao kwa asilimia 100%, inaelekea ulihudhuria AU umedesa semina elekezi iliyofanyika pale Dodoma.....WANANIUDHI KWELIKWELI ILA BASI SINA LA KUWAFANYA
 
Yaani Luteni upo kama wao kwa asilimia 100%, inaelekea ulihudhuria AU umedesa semina elekezi iliyofanyika pale Dodoma.....WANANIUDHI KWELIKWELI ILA BASI SINA LA KUWAFANYA
Ngisibara unaweza kufafanua.
 
Nakerwa sana na jinsi baadhi ya wabunge wanavyopoteza muda pindi wanapopewa nafasi ya kuchangia bungeni, utamsikia mbunge akizunguka zunguka bila sababu za msingi.............

Asante sana Mh. Spika kwa kuniona angalau na mimi niweze kuchangia hoja hii.

Kwanza kabisa nampongeza Rais wetu mpendwa Jakaya Kikwete kwa kuchaguliwa kwake kwa kishindo mara ya pili.

Pili nakupongeza wewe binafsi kwa kuchaguliwa kwako kuwa Spika umeweka historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika Tanzania.

Tatu nawapongeza wabunge wote kwa kuchaguliwa tena, hii inadhirisha kuwa wananchi bado wana imani nasi.

Bila kusahau kujipongeza mimi binafsi kwa kuchaguliwa kwangu hii inatokana na maendeleo niliyowaletea wananchi wa jimbo langu.

Mh. Spika nitakuwa sina fadhila kwa familia yangu hasa mai waifu wangu nisipomtaja kwa jinsi alivyokuwa bega kwa bega kufanikisha ushindi wangu.

Mwisho Mh. Spika sintawasahau wapigakura wangu kweli wameonyesha imani kwangu najua wengi wananiangalia kwenye TV ninavochangia sasa.

Kabla ya kuuliza swali Mh. Spika naomba nitambue uwepo wa wageni wangu waliolitembelea bunge lako tukufu leo

Wa kwanza ni jirani yangu Mzee Mwanakijiji yeye ni mmoja wa waliofanikisha ushindi wangu hakulala usiku na mchana hadi matokeo yalipotangazwa.

Wa pili ni binamu wangu huyu mtoto aliniambia anapenda sana kuwa mbunge ndio maana leo kaja kujifunza jinsi mjomba wake anavyochangia

Mh. Spika najua muda wangu karibu kwisha lakini sasa nakwenda moja kwa moja kwenye swali langu la msingi.

Unajua Mh. Spika wapinzani wetu kazi yao ni kupinga kila kitu bila kujali masilahi ya taifa kwanza.........makofi kwa wabunge.........

(Spika anaingilia kati)...............una dk moja imebaki..............Oopss..........

Nashukuru Mh. Spika kwa taarifa yako nilikuwa na mengi sanaaaa kwa ajili ya wapiga kura wangu ila muda hautoshi

Swali langu hivi lile daraja litaisha kabla ya kampeni za 2015?
Lazima aitaje nyumba ndogo vinginevyo jioni chumba atakiona kidogo.
 
Nakerwa sana na jinsi baadhi ya wabunge wanavyopoteza muda pindi wanapopewa nafasi ya kuchangia bungeni, utamsikia mbunge akizunguka zunguka bila sababu za msingi.............

Asante sana Mh. Spika kwa kuniona angalau na mimi niweze kuchangia hoja hii.

Kwanza kabisa nampongeza Rais wetu mpendwa Jakaya Kikwete kwa kuchaguliwa kwake kwa kishindo mara ya pili.

Pili nakupongeza wewe binafsi kwa kuchaguliwa kwako kuwa Spika umeweka historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika Tanzania.

Tatu nawapongeza wabunge wote kwa kuchaguliwa tena, hii inadhirisha kuwa wananchi bado wana imani nasi.

Bila kusahau kujipongeza mimi binafsi kwa kuchaguliwa kwangu hii inatokana na maendeleo niliyowaletea wananchi wa jimbo langu.

Mh. Spika nitakuwa sina fadhila kwa familia yangu hasa mai waifu wangu nisipomtaja kwa jinsi alivyokuwa bega kwa bega kufanikisha ushindi wangu.

Mwisho Mh. Spika sintawasahau wapigakura wangu kweli wameonyesha imani kwangu najua wengi wananiangalia kwenye TV ninavochangia sasa.

Kabla ya kuuliza swali Mh. Spika naomba nitambue uwepo wa wageni wangu waliolitembelea bunge lako tukufu leo

Wa kwanza ni jirani yangu Mzee Mwanakijiji yeye ni mmoja wa waliofanikisha ushindi wangu hakulala usiku na mchana hadi matokeo yalipotangazwa.

Wa pili ni binamu wangu huyu mtoto aliniambia anapenda sana kuwa mbunge ndio maana leo kaja kujifunza jinsi mjomba wake anavyochangia

Mh. Spika najua muda wangu karibu kwisha lakini sasa nakwenda moja kwa moja kwenye swali langu la msingi.

Unajua Mh. Spika wapinzani wetu kazi yao ni kupinga kila kitu bila kujali masilahi ya taifa kwanza.........makofi kwa wabunge.........

(Spika anaingilia kati)...............una dk moja imebaki..............Oopss..........

Nashukuru Mh. Spika kwa taarifa yako nilikuwa na mengi sanaaaa kwa ajili ya wapiga kura wangu ila muda hautoshi

Swali langu hivi lile daraja litaisha kabla ya kampeni za 2015?

Luteni umenifanya nivunjike mbavu hapa
:biggrin1:

Sasa analiulizia daraja lisimalizike ili arudi 2015 kwenye uchaguzi adai kuwa atashinikiza limaliziwe kwa hiyo wamchague tena ili ashinikize limalizwe.
Magamba Projects za hazimaliziki mpaka Mbunge anazeeka Projects bado hazijaisha

Akimalizahapo hao wabunge wa Magamba anapiga usingizi na kusubiria posho yake, magamba wanatafuna kodi zetu kiulaini
 
Back
Top Bottom