Wabunge wanaolipa uhai Bunge la Jamhuri ya Tanzania

Mie napenda kuangalia bunge b'koz ya challenge ya upinzani ya cdm....lasivyo nawatch tom and jell
 
huyo sio bata ni bata mzinga kabisa, aache kufikiri kwa kutumia Makamasi kama Nyambari na magamba.Hakuna mke wa T. Lisu Mjengoni ila Makamanda wa CDM ndio mpango mzima wa Uhai wa bunge la Tz. Pipoooooooooooooooooooooooooooooooz
 
Itakuwa dhambi kama hatutosema ukweli wabunge wa Upinzani especially CHADEMA & NSSR Bunge lisengekuwa na uamsho wowote. Imelazimu mawaziri wajipange kwa hoja kabla ya kushika Mic.
 
mimi wakifatana kuongea watu kama nyambali na vicky kamata ninafunga TV naenda kulala. Kama TV tungekuwa tunaweka voucher ndo tuangalie nadhani tungekuwa tunabip tu wakati CDM wakiongea. Ikija zam ya mbunge wa magamba watu tungekuwa tunazima TV ku save credit zetu maana ni utumbo tu. Utasikia 'mweshimiwa spika huu mpango wa maendeleo ni mzuri sana tukiutekeleza mimi naunga mkono hoja' No argument no critics nothing, zero minus.
 
Nampenda E.L make yeye akiwa pale bungeni ni kama mgonjwa wa kupooza ama kama paka anavyokaa kwenye kona anamlia timing panya akatize kumbe anaratibu mapato na matumizi ya CCM bungeni na akitoka nje anapanga timu upya

mwisho wa mchezo anaenda kuongea na kaptain wake mama wa tundege na kuangalia timu imezidiwa wapi,nani atoke na nani aingie a.k.a the special one,Mourinho!!
 
Bunge Daima linakuwa hai pale Upinzani unapokuwa na nguvu, Hata mabunge ya nchi zilizoendelea chama tawala kinapata wakati mgumu pale wapinzani wanpokuwa na hoja zinazogusa Wapiga kura wao lakini sio kama Wabunge wa SISI-EMU wanaotetea maslahi yao wenyewe. Badala ya kutoa hoja wana kejeli hoja kwa sababu hawana uchungu na waliowachagua.
 
Ni ukweli usiopingika kwamba wabunge wa upinzania na hasa wa CDM ndiyo wameweza kulichangamsha bunge la JMT wa kwa hoja kalikali zenye mshiko. Lakini pia jana nilimuingiza katika orodha hii Mbunge wa CCM (Mwibara) Alphaxid Lugola (spelling pse). Mimi nafikiri aliuchambua vizuri mpango wa dira ya maendeleo ya miaka 5 kwamba haukidhi vigezo vya SMARTER, japo najua Mi-bunge mingi ya CCM ilikuwa haijui nini maana ya SMARTER.

Mimi ninafikiri huyo Lugola kwakuwa bado ni mgeni, ngoja tumpatie mda labda naye baadaye ata aquire ule ugonjwa wa CCM unaoitwa MENTAL RETARDNESS

For the time being KUDOS Lugola wa CCM
 
Nampenda E.L make yeye akiwa pale bungeni ni kama mgonjwa wa kupooza ama kama paka anavyokaa kwenye kona anamlia timing panya akatize kumbe anaratibu mapato na matumizi ya CCM bungeni na akitoka nje anapanga timu upyamwisho wa mchezo anaenda kuongea na kaptain wake mama wa tundege na kuangalia timu imezidiwa wapi,nani atoke na nani aingie a.k.a the special one,Mourinho!!
Hahahahahaaa! Mkuu yule masai mjanja sana, yeye bungeni huwa haongei wala kuchangia chochote then muda wote km anatafakari, cjui huwa anamipango gani yule. Nasikia wabunge wa magamba hasa hawa viti maalum wanamkubali kweli.. Ila AC ANABOA!
 
Michango ya prof wa ukweli majimarefu inapendeza bandugu!!ni mtazamo tu.
 
Tuseme ukweli tu, Bunge, kama ilivyo nchi sasa inaongozwa na CDM. Ni ukweli usiopingika kuwa, GVT, imekuwa na kazi ya kujibu hoja tu. Ndiyo maana hata humu JF imeajiri watu wa kujibu hoja. Tungeona wajanja kama wangeanzisha kitu chao.
 
Jamani wanaja JF nawaomba/kuwasisihi tuwe wawazi, bila kuwa na itikadi, upendeleo wala ushabiki na ushushushu. Wabunge wa chama gani wanafanya maelfu ya watu kupenda kusikiliza/hata kuangalia bunge letu?. CHADEMA, CCM, CUF, NCCR, UDP, CCJ au chama gani.? Mimi bila kupendelea kama wasingekuwepo wabunge wa CDM wala nisinge sumbuka kuangalia wala kusikiliza bunge.
Nawasilisha.

Wabunge wa CCM wanaboa kweli, waoga kunyang'anywa kadi na kupoteza ubunge. Wabunge waruhusiwe kuhama chama na ubunge wao hii itawapa nguvu.

Wawakilishi wa wananchi:
CDM
NCCR

Wawakilishi wa chama
CCM
CUF

Wawakilishi wa Mtumbo yao
CCM
TLP
CUF
UDP
 
Chadema, chadema, chadema .........................................................
 
Back
Top Bottom