It's now 1546 EAT ! Updates ?
Makinda atakataa kwa grounds zipi, labda atumie nguvu ambayo itaonekana wazi. Kama kanuni zinavyosema kazi yake ni kupokea hoja endapo itakuwa imesainiwa kwa 20% ya wabunge waliopo. Kazi ya kutaa hoja si ya spika ni ya wabunge watakaopiga kura. Labda kinachotakiwa kama serikali inataka kuikataa hoja ijipange ili kura zisifike 50% +1.Zitto fanyeni kweli,4 the seek of the nation makinda kesho akikataa apigwe pale na ang'olewe kwa mabavu kama ukraine then naibu spika Ndugai..aweke hoja mezani
Kwani Zitto ndiye kaanzisha thread hii, muulize Yericko Nyerere, Zitto has nothing to do with this thread.Zitto alikuwa analeta burudani tu. Hamna kitu
Mkuu sasa ni saa tisa na dakika tisa!!
Any pdates??
Nimeshaweka updateMtuariafu kitakachoendelea kesho.