Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
Wana jf mnaonaje wabunge wetu nao walipwe kutokana na elimu zao, hapo ndo heshima itarudi, maama hii ya kulipwa mil 10 hata kama ni darasa la 7 ndo kinapelekea hawa wabunge wetu washindwe kuwaheshimu wasomi. naomba kuwasilisha.