Elections 2010 Wabunge walioonyesha maendeleo kwenye majimbo yao

Hivi jamani hii verdict imetokana na analysis ya kina na ambayo ni objective. Ninavyoamini mimi ni kwamba bila kutengeza vigezo ambavyo ni uniform kwa utendaji wa mbunge, chochote kitakachotolewa humu itakuwa ni maoni ambayo ni very subjective na yasiyo na maana yoyote kwa sababu kila mtu ata-pick mbunge wake kwa vile anaona au amesikia kuna kitu amekifanya bila kujua kwamba na yeye ana failures zake. Siiungi mkono thread hii ambayo kimsingi ni upigaji ramli!

Kaka ukitaka kila kitu kiwe scientific hutaweza hata kutoa maoni yako maana utakuwa na data ambazo sio statistically proved . Hivyo hapa tunaongea kwa tunavyoviona kama unaona mtu kaonewa basi eleza hapa na toa maoni yako.
 
Wakati mwingine nashindwa kuelewa. Hivi hawa wabunge wanatoa fedha kutoka mifukoni mwao ili kuleta maendeleo yanayozungumziwa?
 
Wakati mwingine nashindwa kuelewa. Hivi hawa wabunge wanatoa fedha kutoka mifukoni mwao ili kuleta maendeleo yanayozungumziwa?

kamanda, hawa wanakuwa ni watafutaji wa miradi mbali mbali na kuishawishi serikali kuwekeza humo na ni vishawishi vile vile wa kutafuta wahisani wa kutoa misaada katika maeneo husika
 
hali ya kisiasa kwa wabunge hawo watano inaendelea vizuri kwenye majimbo yao na sasa hata watoto wadongo wawnawahitaji wakijua ni viongozi wao bora
 
Hawa wabunge ni maarufu sana kama wanavyosema kuwa maji barabara wameimarisha maeneo na wana mafwesa kinoma.LAKIN JAMani hata Lukuvi ni nusu mungu kule isman tunawapa hongera

Kama ni kweli kuwa Lukuvi ni nusu Mungu huko Ismani basi hawa wanyalukolo lazima wana kasoro mu vichwa vyao kwani watu wenye akili timamu hawawezi kumuenzi mtu ambae ni KIHIYO!!!
 
kuna vitu lazima tuanze kuvijadili kuhusu wabunge na vipimo vya utendaji kwani naona jamii
imeanza kudhani mbunge ni mtendaji kumbe mbunge ni mwakilishi wa mambo yanayotakiwa
kufanywa na serikali na si lazima yeye ayafanye bali ni serikali yenye wajibu wa kuyafanya
kwahiyo kuna wabunge wazuri ambao wameyasema matatizo ya maeneo yao lakini wameangushwa
na watendaji wa serikali kwa sababu mbalimbali ikiwemo chuki binafsi na kutokuwajibika kwa
wakuu wa wilaya na mkoa na wizara husika
 
kuna vitu lazima tuanze kuvijadili kuhusu wabunge na vipimo vya utendaji kwani naona jamii
imeanza kudhani mbunge ni mtendaji kumbe mbunge ni mwakilishi wa mambo yanayotakiwa
kufanywa na serikali na si lazima yeye ayafanye bali ni serikali yenye wajibu wa kuyafanya
kwahiyo kuna wabunge wazuri ambao wameyasema matatizo ya maeneo yao lakini wameangushwa
na watendaji wa serikali kwa sababu mbalimbali ikiwemo chuki binafsi na kutokuwajibika kwa
wakuu wa wilaya na mkoa na wizara husika
mbunge bora niyule anawasilisha amatatizo kwa serikali inapokaa kimya, hupaswa kurudi kwa wananchi wake na kuwaambia kilichotokea siyo kukaa kimya huyo ni mnafiki
 
jimbo kama la ubungo limebaki kuwa pweke kwa mbunge wa jimbo hilo kwasasa kuwa kivuli kisichokuwa na mwelekeo, ila wananchi wanaonyesha imani kubwa na john mnyika kwa kuendelea kuwafariji toka walipo lazimishwa kupewa mbunge amabye hakuwa chaguo lao
 
Back
Top Bottom