Elections 2010 Wabunge waliokwisha tangazwa RASMI na Tume ya Uchaguzi...

biharamulo, (chadema), CHATO, (CCM), MAGUFULI, MBEYA MJINI (CHADEMA), SUGU, KIGOMA MJINI, (CCM), PETER SERUKAMBA
 
TIME FOR CHADEMA!
Up to now CHADEMA has won the following constituencies confirmed by NEC: Arusha town, Iringa town, Moshi town, Musoma town, Nyamagana, Ilemela, west Maswa, east Maswa, Ukerewe, Kigoma Kaskazini, Hai, Mbeya town
 
Ina maana yule Mama amepigwa bao, au hakugombea mwaka huu?.
Kapigwa bao. Watanzania inafika mahali wanakuchoka na kukuzawadia zawadi waliompa mama Mongela. Na sasa kama anawapenda wakelewe wenzake na abaki hapo hapo Nansio akilima muhogo paoja nao. Aache longo longo.
 
Naomba ili kuondoa mkanganyiko katika jamvi letu,tujaribu katika post hii kuweka majina ya WALIOKWISHA TANAGZWA NA TUME(wakurugenzi ) ili kuondoa utatamimi naanza1.Vicent Nyerere-Musoma Mjini(CHADEMA)2.Peter Msigwa-Iringa Mjini(CHADEMA)3----------------Tuendelee kwa mfumo huu

Tume no loud speaker tu, tuweke hata yale ambayo tuna uhakika tumejumlisha sisi wenye kwenye kata zote za jimbo husika, kwani sisi hatujui kujumlisha au calculators zetu ni za kichina au laptops zetu hazina Excel?
 
1.Halima James Mdee -Kawe/Chadema
2.Tundu Lissu - Singida Mashariki/Chadema
3.Mustapha Quorro Akonaay- Mbulu/Chadema
4.Israel Yohana -Karatu/Chadema
5.John Mnyika -Ubungo/Chadema
6.Silinde David -Mbozi Magharibi/Chadema
7.Felix Mkosamali -Muhambwe/NCCR Mageuzi
8.Salvatory Naluyaga Machemuli-Ukerewe/Chadema
9.Agripina Z. Buyogela -Kasulu Vijijini/NCCR-Mageuzi
10.Ole Sambu -Arumeru Magharibi/Chadema
11.Augustine Lyatonga Mrema-Vunjo/TLP
12.Salum Barwani -Lindi/CUF
13.Joseph Mbilinyi -Mbeya Mjini/Chadema
14.Philemon Ndesamburo Kiwelu-Moshi Mjini/Chadema
15.Dk Antony Mbasa -Biharamulo Magharibi/Chadema
16.Machali Moses John-Kasulu Mjini/NCCR Mageuzi
17.Joseph Selasini -Rombo/Chadema
18.Hezekiah Wenje -Nyamagana/Chadema
19.Peter Msigwa -Iringa Mjini/Chadema
20.Freeman Mbowe -Hai/Chadema
21.Vincent Nyerere -Musoma Mjini/Chadema
22.Godbless Lema -Arusha Mjini/Chadema
23.Zitto Kabwe/C -Kigoma Kaskazini/Chadema
24.Hayness Samson -Ilemela/Chadema
25.John Shibuda -Maswa Magharibi/Chadema
26.Meshack Opulukwa -Meatu/Chadema
27.Sylvester Kasulimbayi Mhoja-Maswa Mashariki/Chadema
28. John Cheyo -Bariadi Mashariki/UDP
29. Bungaro Said -Kilwa Kusini/CUF
30. David Kafulila -NCCR Mageuzi
Wengine wanaendelea na kutoka ZnZ wapo 22
 
Thanks God and May God Bless these MPs Elect and those who voted for them.
 
Pamoja na hila na uonevu wa kila aina, bado idadi ya wabunge imeongezeka. Chama kinacholea mafisadi kitakoma mwaka huu. Ushauri wangu kwa wabunge wa chama cha manyang'au, hakikisheni mnawatetea wanyonge. Achaneni ni ukilitimba wa chama chenu. Msipofanya hivyo sunami iliyowakumba wenzenu inawafuata nyuma yenu. Mtaangamia 2015.
 
Hizi ndo silaha za maangamizi bungeni, uju mpinzani 1 ni sawa na ccm 30. so suburini vumbi bungeni!
 
Back
Top Bottom