Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
Si wabunge wote nawaongelea hapa, Mbunge kama Sleeliii, Kimaro na wengine, natamani wajiunge na kambi ya Dr.slaa. kwanini wasikaribishwe?...na, nimefurahi sana kwa malecela na bakari mwampachu kupigwa chini...yaani nilifurai mno, pamoja na yule jamaa wa ulanga, jamaa wa best practice....hahaha, chaliiiii.....futilia mbali hadi tuwasahau kabisa kama walishawahi kuexist..