Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
Wabunge wameonyesha kuchukizwa kwao na wasanii wa kiume kuvaa kike kwa kupaka wanja, lipsticks na kuvaa nguo za kike wanapoigiza.
Waziri ameomba wakanywe kwakuwa wanadhalilisha wanawake. Kasema wasitengeneze hela kwa kudhalilisha wanawake.
Waziri kataka mamlaka husika kulifuatilia hili na kutafuta njia ya kutatua.
Wabunge hao wasibwatuke kabla ya kuhojiana na wakufunzi wa Sanaa mbalimbali. Hiyo kwenye sanaa inakubalika na ndo maana hata enzi zile kabla wanawake hawajawa na mwamko wa kuimba muziki; wanaume walikuwa wakiigizia sauti ya kike ili ujumbe uwafikie walengwa. Sanaa ni uwanja mpana waelewe hilo!