Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
Ni kweli Mkuu! Ila kwa magamba ni muhali kuwajibishana.Mimi naona kumpata mwandikaji hicho kijibarua ni simple!kwan kakipataje?si kuna wale makarani kazi yao ndio kusambaza hivyo vijibarua?waulizwe wanajua wamevitoa wapi!akigundulika atangazwe hadharani kama ni mbunge wa kuchaguliwa akija jimboni tunamzomea!kama viti maalumu apigwe chini maanake hajui kilichompeleka hapo!