Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Wana JF hivi ni halali kwa wabunge toka Zanzibar kupewa muda wa kuchangia bajeti kwa wizara zisizokuwa za muungano je hii kitu ni halali? au ndo mapungufu ya kikatiba na kwa nini hakuna wawakilishi wa Tanganyika katika baraza la wawakilishi Zanzibar.Chetu ni chetu na wao na chao chao peke yao hii imekaaje?