Malipesa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 310
- 32
Wabunge wa bunge la TZ wanawahujumu wananchi kwa kutumia muda vibaya katika vikao vya bunge kwa sababu zifuatazo:-
1. Kutumia muda mwingi kushukuru kuilko kuchangia mada iliyoko mezani kwa wakati huo
2. Kutumia muda mwngi kushutumu vyama vingine na kuwaita wabunge wenzao wanafiki badala ya kujadili mambo ya maana na yenye tija kwa taifa.
3. Baadhi Kujadili mambo kiushabiki, kubeza hoja zinazotolewa na wabunge wenzao
Sasa wabunge wa namna hii wanawahujumu wananchi kwa kuacha kutumia muda mwingi kujadili mambo ya maana na yenye manufaa kwa wananchi badala yake wanajadili mtu, ama chama na kutoa shukrani tu tena ukizingatia muda wanaopewa ni mchache.
Kwa hiyo inatakiwa ifike mahali wabunge wote wajue kwamba:-
1. Wamechaguliwa na wananchi na kwa hiyo
2. Wako bungeni kwa ajili ya wananchi
3. Wanatakiwa wafanye yale tu yenye maslahi kwa wananchi na sio kwa ajili mtu mmoja ama chama kimoja.
4. Ubunge wao ni wa msimu, wasije wakajisahau wakafikiri wao ndio wao milele.
Hayo ni mawazo binafsi tu.
Karibuni kwa mawazo mengine na michango zaidi.
Thanks.
1. Kutumia muda mwingi kushukuru kuilko kuchangia mada iliyoko mezani kwa wakati huo
2. Kutumia muda mwngi kushutumu vyama vingine na kuwaita wabunge wenzao wanafiki badala ya kujadili mambo ya maana na yenye tija kwa taifa.
3. Baadhi Kujadili mambo kiushabiki, kubeza hoja zinazotolewa na wabunge wenzao
Sasa wabunge wa namna hii wanawahujumu wananchi kwa kuacha kutumia muda mwingi kujadili mambo ya maana na yenye manufaa kwa wananchi badala yake wanajadili mtu, ama chama na kutoa shukrani tu tena ukizingatia muda wanaopewa ni mchache.
Kwa hiyo inatakiwa ifike mahali wabunge wote wajue kwamba:-
1. Wamechaguliwa na wananchi na kwa hiyo
2. Wako bungeni kwa ajili ya wananchi
3. Wanatakiwa wafanye yale tu yenye maslahi kwa wananchi na sio kwa ajili mtu mmoja ama chama kimoja.
4. Ubunge wao ni wa msimu, wasije wakajisahau wakafikiri wao ndio wao milele.
Hayo ni mawazo binafsi tu.
Karibuni kwa mawazo mengine na michango zaidi.
Thanks.