GIB
JF-Expert Member
- Mar 2, 2012
- 336
- 92
Spika ametangaza leo bungeni kuwa posho ya siku moja ya wabunge wote wa Tanzania itachukuliwa na kupelekwa Zanzibar kusaidia shuhuli za uokoaji.
Wabunge tunawashukuru sana kwa moyo wenu huu.
Pia spika ameahirisha bunge hadi ijumaa.
Source live kutoka. www.arushamambo.com
Wabunge tunawashukuru sana kwa moyo wenu huu.
Pia spika ameahirisha bunge hadi ijumaa.
Source live kutoka. www.arushamambo.com