Jiwe la Ukara
Member
- Jul 15, 2011
- 44
- 31
Kulikuwahi kuvuma tetesi kuwa kuna mpango wa kumng'oa Mbatia katika nafasi ya uenyekiti NCCR-Mageuzi. Katika mpango huo baadhi ya mbunge/ wabunge kutoka KIGOMA ana/wanahusika. Wana JF mpango ulifikia wapi?
Simtetei mbatia, ila wenzetu wa kgm is too much yani wakiwa wengi tu ndani ya jumuia fulani wao lazima waanze kufikiria kupindua! Si kwenye vyama vya siasa hata makanisani pia wanawasumbua sana.
Kwa mtazamo huu hawwezi kufikia malengo ya juu. Ni lazima wajifunze kuongozwa na watu wengine pia na pale inapowezekana kuongoza basi waongoze lakini si kwa kulazimisha.
Mbatia deserves anything he gets! Amekuwa anasimamia hewa!
On the other hand Kigoma is slowly acquiring a very bad reputation. Wamekuwa na mlolongo wa u-mamluki na kigeugeu. Dr Kaborou, Kafulila, Zitto, na hata Kakobe! Na kama Mbatia atapinduliwa nadhani Kikwete atakuwa anajua mpango mzima kama sio kushiriki. Siku chache tulisoma comments za Zitto kuhusu 'friendly talks' kati yake na Kikwete wakati anazindua ujenzi wa daraja/barabara huko Kigoma, na alisema kuwa Kikwete alisema anataka arithiwe na mtu kijana! Then ikaja trip ya South Sudan Zitto akawa kwenye msafara na nilihoji kwa nini sio 'Shadow Minister wa Foreign Affairs kama nia ilikuwa kujumuisha upinzani?
Sio vizuri ku-sterio type eneo au watu lakini kama ambavyo Nigeria imejikuta na reputation ya 'utapeli' wabunge wa Kigoma nao wanatoa taswira mbaya sana kuhusu 'uaminifu'- hawaminiki. There is nothing bad kama kupoteza trust!
Is Mbatia so threat to His Excellence Jakaya Mrisho Kikwete to that extent? You must be kidding if not day dreaming
Hivi Kafulila yumo humu? Au hata hajui kuhusu JF?
Loh! Ujumbe mzito huu! I hope umesomwa na wadau husika!Mbatia deserves anything he gets! Amekuwa anasimamia hewa!On the other hand Kigoma is slowly acquiring a very bad reputation. Wamekuwa na mlolongo wa u-mamluki na kigeugeu. Dr Kaborou, Kafulila, Zitto, na hata Kakobe! Na kama Mbatia atapinduliwa nadhani Kikwete atakuwa anajua mpango mzima kama sio kushiriki. Siku chache tulisoma comments za Zitto kuhusu 'friendly talks' kati yake na Kikwete wakati anazindua ujenzi wa daraja/barabara huko Kigoma, na alisema kuwa Kikwete alisema anataka arithiwe na mtu kijana! Then ikaja trip ya South Sudan Zitto akawa kwenye msafara na nilihoji kwa nini sio 'Shadow Minister wa Foreign Affairs kama nia ilikuwa kujumuisha upinzani? Sio vizuri ku-sterio type eneo au watu lakini kama ambavyo Nigeria imejikuta na reputation ya 'utapeli' wabunge wa Kigoma nao wanatoa taswira mbaya sana kuhusu 'uaminifu'- hawaminiki. There is nothing bad kama kupoteza trust!
Mkuu hapa nimeanza kuzinduka usingizini sasa. Kwa wanaojua kuunganisha the dots unaweza ukaelewa hii point ya huyu mkuu. Reconstruction of NCCR to fight cdm! Yaah this is a point. Kwa hiyo mkuu wanataka iwe ccm-B ya mwaka 2015 nini? Je cdm wameshalijua hili tayari? CCM wanapambana kukiua chadema kwa mbinu yoyote ile hata kama itakuwa ni ya tukose wote. Nadhani zitto huenda akawa anajua huu mpango au hajui japo analengeshwa kunaswa kwenye huu mtego. Kwa jinsi mambo yanavyowakalia vibaya ccm wanaweza hata kuungana na chama hiki kipya cha kgm kupata Raisi ambaye ni kijana kama alivyosema JK. Lakini wasiwasi wangu ni mmoja tu kwamba hiki chama labda kitabaki kuwa cha wana kgm tu maana kwa njinsi tunavyowafahamu huwa hawakubali kuongozwa na mtu wa tofauti na wao. Na sitarajii kitaweza kuwa na faida kwa watanzania zaidi ya kutumiwa tu na ccm kama toilet pepa.CDM must work on this matter bila kulichukulia kama mzaha maana ni dalili zimeonyesha. Please cdm work on this warning signal. CDM lazima wajuwe kuwa zipo mbinu nyingi sana za kuwamaliza hivyo wasipuuzie warning information kama hizi.No. Mbatia is not threat but his removal is part of the reconstruction of NCCR-Mageuzi & create space for a few 'desciples' from CHADEMA. You need to think NCCR- Mageuzi & CHADEMA with Kigoma in the middle as a weapon of mass destruction!
Ni kweli, kwa watu wenye kufikri kama mimi na wewe, kamwe hawawez kuwaamin politician kutoka kgm, ni wanafiki, mamluk na wepes kurubuniwa. Mifano uliyotoa wewe ni ya ngaz ya kitaifa, lakn hata madiwan wenye asili ya kgm wako namna hiyo. Kuna mmoja huku kwetu wa cdm lakn aliattend mkutano wa hadhala ulioandaliwa na wanaccm. Kwel wana mvuto ktk siasa lakn hawaaminik. Mbatia aangalie maana sasa wanasema ni chama cha kgm, watampindua kweli. Si unaona zzk alivyokomaa kutaka cdm chairposition.Mbatia deserves anything he gets! Amekuwa anasimamia hewa!On the other hand Kigoma is slowly acquiring a very bad reputation. Wamekuwa na mlolongo wa u-mamluki na kigeugeu. Dr Kaborou, Kafulila, Zitto, na hata Kakobe! Na kama Mbatia atapinduliwa nadhani Kikwete atakuwa anajua mpango mzima kama sio kushiriki. Siku chache tulisoma comments za Zitto kuhusu 'friendly talks' kati yake na Kikwete wakati anazindua ujenzi wa daraja/barabara huko Kigoma, na alisema kuwa Kikwete alisema anataka arithiwe na mtu kijana! Then ikaja trip ya South Sudan Zitto akawa kwenye msafara na nilihoji kwa nini sio 'Shadow Minister wa Foreign Affairs kama nia ilikuwa kujumuisha upinzani? Sio vizuri ku-sterio type eneo au watu lakini kama ambavyo Nigeria imejikuta na reputation ya 'utapeli' wabunge wa Kigoma nao wanatoa taswira mbaya sana kuhusu 'uaminifu'- hawaminiki. There is nothing bad kama kupoteza trust!
Mkuu hilo wala si jambo la kushangaa. Si unawaona wajomba zao wa kule Rwanda na Burundi?