REBEL
Senior Member
- Dec 15, 2010
- 166
- 64
habari zenu wakuu,hii ni thread yangu ya kwanza hapa jamiiforums.
Bunge linaisha leo nimefanya kautafiti kangu kadogo na nimegundua kuwa wabunge wa Chadema na NCCR MAGEUZI ndio walikuwa wanatoa hoja nzuri ndani na nje ya bunge.
Sijakata kuwa kuna wabunge kidogo wa CUF kama Sakaya,Mnyaa na Hemedi wanatoa hoja na mambo mazito lakini ni wachache sana .Pia, Magamba wako wachache sana wenye hoja nzito lakini wengi wao sana sana wanapiga meza na kuzomea wabunge wa upinzani.Labda Makufuli,Pinda na Tibaijuka ndio waliong'ara kwa upande wa magamba.
Lakini wabunge wa chadema na NCCR Mageuzi kwa ujumla wake ndio waliokonga nyoyo za watanzania wengi sana.Hata kama unabisha jiulize swali dogo tu,
Unajua wabunge wangapi wa CCM au CUF?
pili,unajua wabunge wangapi wa NCCR na CHADEMa?
Jibu la hapo juu ni rahisi sana kila mtu mtaani anamjua mnyika,zito,wenje,machali,mkosamali,lema,mdee,Silinde na wengine wengi.
Lakini CCM ni mzigo,wanafiki na janga la taifa na ni watu wa ajabu sana kama sitta,lowassa,wassira.Wengine upeo wao unatia shaka na nadhani elimu yao ni ndogo sana kama Lusinde na Maji Marefu.
Nawasilisha.
Bunge linaisha leo nimefanya kautafiti kangu kadogo na nimegundua kuwa wabunge wa Chadema na NCCR MAGEUZI ndio walikuwa wanatoa hoja nzuri ndani na nje ya bunge.
Sijakata kuwa kuna wabunge kidogo wa CUF kama Sakaya,Mnyaa na Hemedi wanatoa hoja na mambo mazito lakini ni wachache sana .Pia, Magamba wako wachache sana wenye hoja nzito lakini wengi wao sana sana wanapiga meza na kuzomea wabunge wa upinzani.Labda Makufuli,Pinda na Tibaijuka ndio waliong'ara kwa upande wa magamba.
Lakini wabunge wa chadema na NCCR Mageuzi kwa ujumla wake ndio waliokonga nyoyo za watanzania wengi sana.Hata kama unabisha jiulize swali dogo tu,
Unajua wabunge wangapi wa CCM au CUF?
pili,unajua wabunge wangapi wa NCCR na CHADEMa?
Jibu la hapo juu ni rahisi sana kila mtu mtaani anamjua mnyika,zito,wenje,machali,mkosamali,lema,mdee,Silinde na wengine wengi.
Lakini CCM ni mzigo,wanafiki na janga la taifa na ni watu wa ajabu sana kama sitta,lowassa,wassira.Wengine upeo wao unatia shaka na nadhani elimu yao ni ndogo sana kama Lusinde na Maji Marefu.
Nawasilisha.