BondJamesBond
Member
- Jul 6, 2011
- 85
- 60
CCM walikuja na hii scam ya wabunge wa kuteuliwa kwa sababu ya jinsia na sio merit kama yule mama anaiyeitukana JF kila kukicha, Mchungaji Rwakatare ambaye naona anakula sana pesa za walipa kodi japo hawakumchagua awawakilishe.
Je CHADEMA wanamsimamo gani juu ya hii scam ya CCM? Je wakichukua nchi wataiondoa au itabaki? na sababu zao ni zipi?
Je CHADEMA wanamsimamo gani juu ya hii scam ya CCM? Je wakichukua nchi wataiondoa au itabaki? na sababu zao ni zipi?