sir.JAPHET
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 699
- 133
wabunge wa kanda ya kigomakupitia msemaji wao mkosamali mbunge wa muhambwe,, kibondo kupitia nccr alipokuwa akichangia bungeni leo amesema kuwa wamejipanga kutopitisha bajeti hiyo kufuatia kutengewa bilion3.5 mkoa wa kigoma,, kwa barabra za km300... mbali na hapo 2011/12 walitengewa bilion6,, lakini hawakupewa na baadae bilion 2.3 nazo hazijafika mpaka leo,, jambo ambalo limewakera wabunge wa kigoma wamesema mpaka waongezewe hela ndowataunga mkono bajeti ya wizara hiyo,, kwamba imewatenga wizara hiyo na imesehau mno,, tifauti na mikoa mingine kama kilimanjaro na ndo maana wabunge wa kilimanjaro hawaongei kitu bungeni leo,,,:flypig: