Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Nimeona kwenye list ya wagombea wa CCM kuna wagombea kadhaa ambao elimu yao ni shule ya msingi, swali langu je hawa wakiwa kwenye kamati za bunge wataweza kutusaidia? Mfano mikataba karibu yote imeandikwa kwa kiingereza, na majarida mengi ya kitaalam pia yapo kwa kimombo je hawa watatoa michango gani kama hawataweza kuelewa kilichoandikwa??
- Jah People - Njombe Kaskazini
- Jamal Tamimu - Muhambwe
- Lameck Airo - Rorya
- Luckson Mwajale - Mbeya Vijijini
- Hussein Amar - Nyang'wale
- ........
- ........