Elections 2010 Wabunge wa darasa la saba wataweza kuchangia hoja za kitaalam???

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
Nimeona kwenye list ya wagombea wa CCM kuna wagombea kadhaa ambao elimu yao ni shule ya msingi, swali langu je hawa wakiwa kwenye kamati za bunge wataweza kutusaidia? Mfano mikataba karibu yote imeandikwa kwa kiingereza, na majarida mengi ya kitaalam pia yapo kwa kimombo je hawa watatoa michango gani kama hawataweza kuelewa kilichoandikwa??
  1. Jah People - Njombe Kaskazini
  2. Jamal Tamimu - Muhambwe
  3. Lameck Airo - Rorya
  4. Luckson Mwajale - Mbeya Vijijini
  5. Hussein Amar - Nyang'wale
  6. ........
  7. ........
 
Nimeona kwenye list ya wagombea wa CCM kuna wagombea kadhaa ambao elimu yao ni shule ya msingi, swali langu je hawa wakiwa kwenye kamati za bunge wataweza kutusaidia? Mfano mikataba karibu yote imeandikwa kwa kiingereza, na majarida mengi ya kitaalam pia yapo kwa kimombo je hawa watatoa michango gani kama hawataweza kuelewa kilichoandikwa??

  1. Jah People - Njombe Kaskazini
  2. Jamal Tamimu - Muhambwe
  3. Lameck Airo - Rorya
  4. Luckson Mwajale - Mbeya Vijijini
  5. Hussein Amar - Nyang'wale
  6. ........
  7. ........

Mkuu huyu niliye bold ni mbunge?
 
Nimeona kwenye list ya wagombea wa CCM kuna wagombea kadhaa ambao elimu yao ni shule ya msingi, swali langu je hawa wakiwa kwenye kamati za bunge wataweza kutusaidia? Mfano mikataba karibu yote imeandikwa kwa kiingereza, na majarida mengi ya kitaalam pia yapo kwa kimombo je hawa watatoa michango gani kama hawataweza kuelewa kilichoandikwa??
  1. Jah People - Njombe Kaskazini
  2. Jamal Tamimu - Muhambwe
  3. Lameck Airo - Rorya
  4. Luckson Mwajale - Mbeya Vijijini
  5. Hussein Amar - Nyang'wale
  6. ........
  7. ........

Lameck Airo ndiyo huyu jamaa mwenye LAKAIRO HOTELS - ZOO? Kama ndiye nasikia sasa kaweka mwalimu w kumfundisha kiingeleza
 
Nimeona kwenye list ya wagombea wa CCM kuna wagombea kadhaa ambao elimu yao ni shule ya msingi, swali langu je hawa wakiwa kwenye kamati za bunge wataweza kutusaidia? Mfano mikataba karibu yote imeandikwa kwa kiingereza, na majarida mengi ya kitaalam pia yapo kwa kimombo je hawa watatoa michango gani kama hawataweza kuelewa kilichoandikwa??
  1. Jah People - Njombe Kaskazini
  2. Jamal Tamimu - Muhambwe
  3. Lameck Airo - Rorya
  4. Luckson Mwajale - Mbeya Vijijini
  5. Hussein Amar - Nyang'wale
  6. ........
  7. ........

John MAJOR alimaliza O-Level peke yake lakini aliweza kuongoza taifa kubwa kama Uingereza:John Major - Wikipedia, the free encyclopedia
Waweza kukuta hao jamaa wa darasa la saba wanamapenzi makubwa na nchi kuliko wasomi waliobobea na wala rushwa wakubwa...kipi bora? Kuwa na msomi mwizi au kuwa na darasa la saba mwenye moyo na mapenzi ya maendeleo ya wanajimbo na nchi yake? what is your take?
 
Nimeona kwenye list ya wagombea wa CCM kuna wagombea kadhaa ambao elimu yao ni shule ya msingi, swali langu je hawa wakiwa kwenye kamati za bunge wataweza kutusaidia? Mfano mikataba karibu yote imeandikwa kwa kiingereza, na majarida mengi ya kitaalam pia yapo kwa kimombo je hawa watatoa michango gani kama hawataweza kuelewa kilichoandikwa??

  1. Jah People - Njombe Kaskazini
  2. Jamal Tamimu - Muhambwe
  3. Lameck Airo - Rorya
  4. Luckson Mwajale - Mbeya Vijijini
  5. Hussein Amar - Nyang'wale
  6. ........
  7. ........


Mkuu bado kuna Professor Maji Marefu Korogwe.Nakwambia mwaka huu tutakoma
 
Lameck Airo ndiyo huyu jamaa mwenye LAKAIRO HOTELS - ZOO? Kama ndiye nasikia sasa kaweka mwalimu w kumfundisha kiingeleza

Huyo jamaa ni darasa la nne jamani, hata akijifunza kingredha chenu hicho atachangia nini?? au wengine wanataka kutumia ubunge kama kivuli cha kuendeleza uharamia wao??:mad2::mad2::mad2:
 
John MAJOR alimaliza O-Level peke yake lakini aliweza kuongoza taifa kubwa kama Uingereza:John Major - Wikipedia, the free encyclopedia
Waweza kukuta hao jamaa wa darasa la saba wanamapenzi makubwa na nchi kuliko wasomi waliobobea na wala rushwa wakubwa...kipi bora? Kuwa na msomi mwizi au kuwa na darasa la saba mwenye moyo na mapenzi ya maendeleo ya wanajimbo na nchi yake? what is your take?

O level ya uingereza na la saba wa Tanzania...:sleepy::sleepy:.... sipati picha, hilo bunge litakuwa la ma mbumbumbu.... Majambazi..... wahuni..... :ballchain:
 
Bunge la Tanzania linaundwa na watu kidogo wasioweza kiasi wasioweza kusoma technical documents, wengi kiasi wenye kuweza kuzisoma lakini wakashindwa kizielewa, wachache wenye uwezo wa kuzisoma, kizielewa na kutoa maamuzi sahihi na kidogo wenye uwezo wa kuzisoma, kizielewa na kutoa maamuzi ya upotoshaji

Kwa ufupi ni kuwa bunge letu linaendeshwa na watu wachache tu wenye uwezo wa kuelewa technical papers....wengi wa walobaku wanafata maamuzi ya chama blindly
 
O level ya uingereza na la saba wa Tanzania...:sleepy::sleepy:.... sipati picha, hilo bunge litakuwa la ma mbumbumbu.... Majambazi..... wahuni..... :ballchain:



Mi naona hata darasa la saba sawa tu kwa hii nchi, kwani hata Maprofesa waliojaa huko bungeni hawana msaada wowote kwetu. Ingekuwa kusoma ndio kuna mfanya mtu awe na busara wasomi wote waliojaa mjengoni wasigekubali kodi zetu ziliwe na mafisadi wachache, kwa hiyo kwa upande wangu mimi naona hata Memkwa ni sawa tu kuwa wabunge/mawazili!
 
Rostam Azizi huwa anachangia nini?

... kama King Maker wa awamu ya dola hii, sintoshangaa akiwa kule Bungeni anafurahia matokeo ya mipango na hata jinsi alivyowafikisha jamaa wengi mle ndani MJENGONI... na kwa hiyo akichekelea BONGO INAVYOTAFUNWA naye. Hapa siweki sentensi ... jinsi Mitanzania ilivyo ya KUDANGANYWA..MIJUHA ...kwani ntakuwa najitukana mwenyewe. RA rules OK? For laughing out loudly!
 
Hilo bunge litakuwa kichekesho kama mwenyekiti wa kamati atakuwa la saba halafu mjumbe profesa realna mwingine prof maji marefu sasa sijui nanai atakubali kushindwa hapo.
 
Teheteheteheeeee!kama vipi hilo bunge wakijisahau tu nchi inapigwa mnada na hakuna wa kupinga.
 
Plato aliwakusema hivi:

"Wale ambao ni weledi, mahiri na waadilifu lakini hawataki kuingia katika siasa, mwishowe hujikuta wakitawaliwa na watu hovyo na wajinga"

Je haya maneno yanaanza kutimia?? Sipati picha kama hawa ndugu zangu (siyo dhamira yangu kuwadharau kwa sababu hawakupata fursa ya kupata elimu zaidi ya waliyonayo) wa std seven itakuwaje iwapo wakipewa nyadhifa za uwaziri, je wataweza kuwatendaje wasaidizi wao wanaowazidi elimu? Je pale ambapo hawa wasaidizi watataka ku-argue na mabosi wao hao maboss hawatapata inferiority complex na kuwanyanyasa??
Haya ni mawazo yangu tu lakini nadhani elimu ni silaha muhimu katika kumuwezesha binadamu kupambana na mazingira yake. Na kwa ulimwengu wa leo wa technologia je watatufaa? Je lugha haitawakwamisha kutekeleza majukumu yao?????????
 
Suala la kujiuliza ni , je, huyu Mbungu wa darasa la saba anamwakilisha nani? Je hawa darasa la saba wanatengeneza asilimia ngapi ya wabunge? Kama elimu bila kuangalia talanta nyinginezo katika uongozi wa umma basi baraza la mawaziri 2005-2010 lingekuwa limepaisha hali ya maisha ya Mtanzania kwa sababu kuna 'madaktari' na maprofesa wa 'kufa mtu' lakini nini matokeo yake?
 
Lameck Airo ndiyo huyu jamaa mwenye LAKAIRO HOTELS - ZOO? Kama ndiye nasikia sasa kaweka mwalimu w kumfundisha kiingeleza

goodluck to him. tz hakuna lisilowezekana. Hata ukimweka kichaa ikulu, the country will go on na watu wala hawatachinjana ila wataendelea kulalamika tu kwenye magazetu. TZ is the only country in the world where its people can live happily without a leader. Afterall tuna ma- dk (Phd) and some professors in the parliament, but they are just good for nothing.
 
Back
Top Bottom