Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Wabunge kukacha vikao hawawatendei haki wananchi
Soma mwenyewe mimi simo: lau hivyo vikao vya RCC vingekuwa telivised... wasingekosa... si unajua mambo ya usanii... Kweli taifa linaenda mrama.
"Serikali legelege inatokana na Bunge Legelege a.k.a Wabunge wasanii": I qoute of signature of a JF Member.
Dada THEOPISTA NSANZUGWAKO: Ubarikiwe na Bwana eeh.
Soma mwenyewe mimi simo: lau hivyo vikao vya RCC vingekuwa telivised... wasingekosa... si unajua mambo ya usanii... Kweli taifa linaenda mrama.
"Serikali legelege inatokana na Bunge Legelege a.k.a Wabunge wasanii": I qoute of signature of a JF Member.
Dada THEOPISTA NSANZUGWAKO: Ubarikiwe na Bwana eeh.