Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Kwa tukio la jana la Hamad Rashid kukataliwa hoja yake ya kuomba bunge liahirishwe kutokana na dharura ya ajali iliyotokea Zanzibar, na kisha wapinzani wote kuamua kutoka bungeni kuwaacha wale wa CCM waendelee kupitisha bajeti huku wananchi wanakufa maji. Ni dhahiri tukio lile limewafanya CUF wafikirie kwa kina ndoa yao na bwana yao CCM inawapeleka wapi?
Ujumbe wa leo: " Ukifanya urafiki wa kimapenzi na CCM kama walivyofanya CUF huko Zanzibar, basi tubiri yakufike ndo utang'amua makucha ya CCM"
Ujumbe wa leo: " Ukifanya urafiki wa kimapenzi na CCM kama walivyofanya CUF huko Zanzibar, basi tubiri yakufike ndo utang'amua makucha ya CCM"