Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilichofanyika ni hiki, kuna hakina mama wa kiharabu walikuwa wanataka pasport, lakini wakakwama, hawa jamaa (wabunge) wakaamua kufunga nao ndoa chap chap ili ionekane wao (hakina mama wale) ni wake zao.mkuu plz elaborate walifunga ndoa kiujanja ujanja?sijakupata hapo mkuu
Wabunge wepi hao...habu wataje usizuwe hapaTukiwa tunaingia mitamboni, tumepata habari kuwa wale wabunge wa CUF waliokuwa wamefunga ndoa kwa ujanja ujanja, wameachiwa huru,
hata hivyo muda mfupi wamekamatwa tena, sababu za kukamatwa tena nitafuatilia
In fact sio wabunge wa bunge hili, walikwua wabunge kabla ya uchaguzi wa 2005. Ni Khamis Ally Salehe aliyekuwa Mbunge wa Magogoni na Khalifa Mohamed Issa aliyekuwa mbunge wa Mtambwe. Walidaiwa kufunga ndoa na wanawake wa Kisomali (Fardhosa Mohamed na Sophia Rage).Wabunge wepi hao...habu wataje usizuwe hapa
Sifa ya ubunge huwa haiishi, hata Nyerere alikuwa anaitwa mwalimu na wakati alikuwa hafundishi,In fact sio wabunge wa bunge hili, walikwua wabunge kabla ya uchaguzi wa 2005. Ni Khamis Ally Salehe aliyekuwa Mbunge wa Magogoni na Khalifa Mohamed Issa aliyekuwa mbunge wa Mtambwe. Walidaiwa kufunga ndoa na wanawake wa Kisomali (Fardhosa Mohamed na Sophia Rage).